Hivi George Mkuchika ndio Kingunge Ngombare Mwiru wa zama hizi?

Hivi George Mkuchika ndio Kingunge Ngombare Mwiru wa zama hizi?

Wakuu...

Leo maombeni mnijuze, kwanini Captain Mstaafu George Huruma Mkuchika kila Baraza jipya la Mawaziri huwa hakosi.

Ukiangalia umri wake ni kama umeshamtupa mkono, lakini bado anaaminiwa na kila Rais anayekuja madarakani hali ya kuwa vijana wapo na wanaweza kuchapa kazi vizuri tu.

Je tuseme Mkuchika ndio Kingunhe wa zama hizi?
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Kusini wanajua sn kuloga, huyu babu anatakiwa apumzike lakini unaweza kuta ana mtoto wa miaka 2 sehemu
 
Huwezi kumfananisha Mkuchika na Kingunge mzee wa Misimamo Mzee Kingunge akiwahi kusema CCM waliyoianzisha na NYERERE sio hii kitu ambacho MKUCHIKA Hawezi kuthubutu kusema
atasemaje kama chama kinakwenda vizuri tu...
 
Wakuu...

Leo maombeni mnijuze, kwanini Captain Mstaafu George Huruma Mkuchika kila Baraza jipya la Mawaziri huwa hakosi.

Ukiangalia umri wake ni kama umeshamtupa mkono, lakini bado anaaminiwa na kila Rais anayekuja madarakani hali ya kuwa vijana wapo na wanaweza kuchapa kazi vizuri tu.

Je tuseme Mkuchika ndio Kingunhe wa zama hizi?
Siasa inahitaji wisdom hata mahakamani wapo wazee makanisani na karibu board nyingi hapa Tanzania ni vitengo vya wazee

Yapo mambo yanahitaji umri mwingi na utulivu wa akili kitu ambacho huwezi kukipata ukiwa kijana au before 70s
 
Wakuu...

Leo maombeni mnijuze, kwanini Captain Mstaafu George Huruma Mkuchika kila Baraza jipya la Mawaziri huwa hakosi.

Ukiangalia umri wake ni kama umeshamtupa mkono, lakini bado anaaminiwa na kila Rais anayekuja madarakani hali ya kuwa vijana wapo na wanaweza kuchapa kazi vizuri tu.

Je tuseme Mkuchika ndio Kingunhe wa zama hizi?
Kuna methali maarufu sana isemayo, "Joka la mdimu hulinda watundao"
 
Back
Top Bottom