Kwa hiyo sasa hivi hizo gharama ambazo Tanzania isingeweza kuzimudu huko nyuma, sasa tumezimudu vipi?
Baba wa Rihana anatusaidia nini sisi?
Hivi Msingwa anaelewa kua baba wa Rihana ni mwizi na tapeli mkubwa hadi binti yake alimfungulia mashtaka ya utapeli na wizi kwa kutumia jina la binti yake?
Huu uongo wa kumpa sifa Samia za kijinga hautatusaidia chochote.
Samia nae alivyo muongo eti alikua na wasiwasi kama filamu itakubalika Tanzania ila amepokea text meseji zaidi ya 300,000 kwa pongezi alipofika tu Tanzania.
Hivi Samia anafikiri sisi ni wakalia maji kama yeye na wenzake aa kule kwenye maji ambao unaweza kuwadanganya tu, namba ya simu binafsi ya rais inajulikana na circle ya watu wachache wasiozidi 1,000. Hizo text laki tatu zilitumwa na nani?
Hii nchi alieturoga.