Hivi Gerson Msigwa yupo sawa? Baba wa Rihanna akistaafu atakuja kuishi Zanzibar itasaidia nini Watanzania?

Hivi Gerson Msigwa yupo sawa? Baba wa Rihanna akistaafu atakuja kuishi Zanzibar itasaidia nini Watanzania?

Ni mkwe wa mwendazake ni yeye amebakia huko mbele.

Huyo baba Rihanna ana shida gani atoke marekani aje kuishi hapo zanzibar.

Ilikuwa changamsha genge tu
 
Binafsi sijaona alipokosea Msigwa

Alichotamka ni kikubwa na cha muhimu kwa kila anayemfahamu Rihanna lakini haifahamu Tanzania
😂😂😂Huyu mwenzetu haiwezekan kumsagia kunguni 🤣🤣🤣🤣🤣🤣✔️
 
Chukulia Dunia nzima ni Tanzania tu, na mikoa ndo nchi. Nchi yenye wakazi waamiaji wasio wenyeji wengi ni DSM, embu itofautishe na nchi isiyo na wageni wengi kama nchi nyingine kama Iringa n.k utauona umuhimu wa mgeni anayeamua kuishi Tanzania. Ataanza yeye, kesho marafiki wataiga, vizazi vyao vitafuata n.k

Tuondoe mawazo ya kijamaa, kama tunataka vijana wa mbeleni wapate ajira tusiitegemee serikali tu, tualike wageni wengi wenye nguvu ya ushawishi duniani waje waishi Tanzania. Baada ya miaka kadhaa tutaona matokeo.
 
Maza president akiendeleza hivi vijimambo vyake vya kitumwatumwa baada ya muda wasaidizi wake wote watageuka mazombi.
Kwa mapozi haya anaweza kweli kuja kuishi Zanzibar.
JamiiForums1255418722.jpg


Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Ronald Fenty (Rihanna's Father) Age, Wife, Family, Biography & More ; Date of Birth, August 16, 1954 ; Age 68

Sijui anastaafu akiwa na umri gani?!!

Watu tunadanganywa tu na mazuzu yanasifia tu kuupiga mwingi!!!
 
Binafsi sijaona alipokosea Msigwa

Alichotamka ni kikubwa na cha muhimu kwa kila anayemfahamu Rihanna lakini haifahamu Tanzania

Msigwa kawaambia watu kama wewe, hivyo huwezi kuona tatizo…. shangilia tu kwa shangwe.
 
Wewe ndio hujaelewa jibu

Unafikiri wangemtaja huyo baba jina lake bila kumtaja Rihanna ingekua habari!?
Huyo baba yake hana credit yoyote huko US. Kwanza mwanae Rihanna alimfungulia kesi ya utapeli. Ni tapeli kabisa huyo, na nikashangaa raisi kupiga nae picha bila kujua huyo mzee ni tapeli na hana credibility yoyote
Screenshot_20220429-101921_1.jpg
 
Back
Top Bottom