1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Mkuu umeogopa kukitaja chuo husika [emoji849].Mkuu hebu nisaidie. Hivi kwa nini NACTE wana GPA ya base ya 4 na ile ya Base ya 5-kwangu mimi hii inaleta makanganyiko. Nimeona chuo kimoja ukisoma regulations zao wanatumia base ya 4 kwa certificate lakini matokeo yanaonyesha mtu kapata zaidi ya 4. Ingekuwa rahisi kuona progress ya mtu kama certificate nayo ingekuwa na base ya 5 na diploma hiyo hiyo base ya 5.
Lapili kuna diploma za miaka 3 na za miaka 2, je GPA zao zinatokana na miaka ipi?
Mkuu nasubiri unijibu. Hilo la hicho chuo sitakitaja sasa hivi hadi nipate data zaidi.Mkuu umeogopa kukitaja chuo husika [emoji849].
University Computer Center Prospectus_2018-2019.docx inasema:Mwaka wa kwanza diploma ni NTA level 5 hii GPA yake haikupeleki Degree hata uwe na GPA ya 4
Mwaka wa pili ndio inabidi ukaze kwelikweli upate GPA ya 3.0 na kuendelea hadi 5 hii inaitwa NTA level 6 ndio ina sifa ya kwenda degree.
Hujachelewa kijana pambana
MkuuMwaka wa kwanza diploma ni NTA level 5 hii GPA yake haikupeleki Degree hata uwe na GPA ya 4
Mwaka wa pili ndio inabidi ukaze kwelikweli upate GPA ya 3.0 na kuendelea hadi 5 hii inaitwa NTA level 6 ndio ina sifa ya kwenda degree.
Hujachelewa kijana pambana
Hapo una vyeti viwiliMkuu
Naomba unieleweshe hy ishu
Mm nmemaliza udom diploma
Mwaka wa kwanza nlkuwa nna 2.8 mwaka wa mwisho nikapata 4.2
Sa hapo kwenye chet cha diploma ntakuwa na jumla ya GPA ngap.?
Kwahy nna GPA ya 4.2 ?Hapo una vyeti viwili
NTA level 5
NTA level 6
Kila kimoja kina GPA yake
Ila hicho cha level 6 ndiyo kitakusaidia kuomba degree.
YapKwahy nna GPA ya 4.2 ?
Kwa kuongezea hapo utaenda kusoma NTA level 7 ambayo inaitwa higher diploma mwaka wa I na IIKwahy nna GPA ya 4.2 ?
mpaka noma yaniHumu kuna watu wanaingizana chaka, dah
Grade Points Average GPA za chuo kwa ngazi ya diploma ipo hivi:Habari za leo wakuu,
Nahitaji kujua GPA ya diploma inaishia ngapi? Maana najua ya Bachelor inaishia 5.
Napia mtu anaye pata GPA ya 2. 6 kwa Diploma uwezo wake ukoje?
Inaishia 15Habari za leo wakuu,
Nahitaji kujua GPA ya diploma inaishia ngapi? Maana najua ya Bachelor inaishia 5.
Napia mtu anaye pata GPA ya 2. 6 kwa Diploma uwezo wake ukoje?
mh acha kutoa tango pori 15 kwani imekua average marks hizoInaishia 15
5Habari za leo wakuu,
Nahitaji kujua GPA ya diploma inaishia ngapi? Maana najua ya Bachelor inaishia 5.
Napia mtu anaye pata GPA ya 2. 6 kwa Diploma uwezo wake ukoje?
Mwanafunzi wetu ameishia vp kwenye elimu yakeHabari za leo wakuu,
Nahitaji kujua GPA ya diploma inaishia ngapi? Maana najua ya Bachelor inaishia 5.
Napia mtu anaye pata GPA ya 2. 6 kwa Diploma uwezo wake ukoje?