Mlalamikaji daily
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 744
- 1,621
Kama mpaka leo hatuwezi kuwalipa walimu vizuri, mwalimu akishaajirwa huo huo mshahara wake ndio ale, avae, alipe Kodi ya nyumba, asomeshe watoto n.k. Tumeshindwa angalau hata Kila shule kuwa na nyumba za walimu!
Leo hii hospitali za Wilaya unakuta sometimes hata Panadol hamna, tena usiombe uwe unatumia NHIF ndio utakula misele mpaka basi,
Haya barabara kibao ni mbovu nyingi hazina lami,
Hata zile zinazounganisha Wilaya
Mfano HANDENI - KILINDI - GAIRO..
Hapo sijagusa tanesco Ile zima waka, zima waka,
Mi naona kama DP word wanaweza kukubali
Tuwauzie na hizi pia...
Leo hii hospitali za Wilaya unakuta sometimes hata Panadol hamna, tena usiombe uwe unatumia NHIF ndio utakula misele mpaka basi,
Haya barabara kibao ni mbovu nyingi hazina lami,
Hata zile zinazounganisha Wilaya
Mfano HANDENI - KILINDI - GAIRO..
Hapo sijagusa tanesco Ile zima waka, zima waka,
Mi naona kama DP word wanaweza kukubali
Tuwauzie na hizi pia...