Hivi haiwezekani dunia nzima tukaungana tukaivamia North Korea kupitia UN na kumtoa Kim Jong Un madarakani?

Hivi haiwezekani dunia nzima tukaungana tukaivamia North Korea kupitia UN na kumtoa Kim Jong Un madarakani?

A sovereign state is a state that has the supreme sovereignty or ultimate authority over a territory. It is commonly understood that a sovereign state is independent. When referring to a specific polity, the term "country" may also refer sovereign state a constituent country, or a dependent territory.
Russia, China and North Korea are both sovereign states mkuu!​
 
Kwa hizi akili za Kim Jong Un na namna ambavyo anahangaika kutafuta vita na the Western world ni dhahir kuwa nchi imemshinda na tusipokaa vizuri mjinga huyu atatupeleka kwenye WWIII

Kwanza Kim ndo anaongoza kwa kuwa na hostages wengi zaidi in the world kwani anaongoza watu Milioni 26 ambao hawana uhuru wa kufanya chochote.

Kim ni Psycho. Hivi kwanini UN Security Council isikae chini ikavote kumtoa huyu maniac madarakani?

Ikafanyika coup flani hivi ya kibabe ikiongozwa na Western countries ili North Korea iwe huru?

Au ipitishwe UN resolution tu kuamua kwamba dunia nzima tunaunda jeshi la kumtoa Kim madarakani?

Kama ni nyuklia hata US anazo. Nini kinasababisha tusiweze kumdhibiti huyu kiumbe?

Hizi ni baadhi ya headlines zinaoonesha jinsi Kim anavyotafuta vita ya tatu ya dunia kwa nguvu.

Ili ?
 
Waafrika sijui alieturoga Ni nani,

Hivi Ni lini tutaacha kulamba miguu ya mabeberu?

Yaani mabaya yote walotufanyia kipind Cha ukoloni, Bado TU Kuna Watu HAMJITAMBUI?

MTOA MADA UNGEKUA KARIBU NINGEKUTWANGA KWENZI
 
The Axis Of Evil. Wote hao wanatakiwa wang'olewe!
Do wabongo sijjui tuna kwaa wapi vichwa vyetu vyemejaa minyoo ...marekani akisema nchi fulani ni exis of evil na sisi tunameza kama lilivyo axis of evil ... nchi ipo huko inajiendeshea maisha yake unaiita axis of evil kwa kuwa us imesema hivyo
 
Kwa hizi akili za Kim Jong Un na namna ambavyo anahangaika kutafuta vita na the Western world ni dhahir kuwa nchi imemshinda na tusipokaa vizuri mjinga huyu atatupeleka kwenye WWIII

Kwanza Kim ndo anaongoza kwa kuwa na hostages wengi zaidi in the world kwani anaongoza watu Milioni 26 ambao hawana uhuru wa kufanya chochote.

Kim ni Psycho. Hivi kwanini UN Security Council isikae chini ikavote kumtoa huyu maniac madarakani?

Ikafanyika coup flani hivi ya kibabe ikiongozwa na Western countries ili North Korea iwe huru?

Au ipitishwe UN resolution tu kuamua kwamba dunia nzima tunaunda jeshi la kumtoa Kim madarakani?

Kama ni nyuklia hata US anazo. Nini kinasababisha tusiweze kumdhibiti huyu kiumbe?

Hizi ni baadhi ya headlines zinaoonesha jinsi Kim anavyotafuta vita ya tatu ya dunia kwa nguvu.


Amekukosea nini?
 
Waafrika sijui alieturoga Ni nani,

Hivi Ni lini tutaacha kulamba miguu ya mabeberu?

Yaani mabaya yote walotufanyia kipind Cha ukoloni, Bado TU Kuna Watu HAMJITAMBUI?

MTOA MADA UNGEKUA KARIBU NINGEKUTWANGA KWENZI

I dont take advice kutoka kwa watu wanaocheat wanawake zao then wanakuja kuringishia humu jukwaani kwenye mamilioni ya watu.

Thanks!
 
Unavyowapiga spana Jews humu jukwaani na kauwaita Mazayuni huwa wamekukosea nini directly?
Jews na Hebrews sina tatizo nao kabisa. Mimi na mazayuni tu.

Kwani kina nyau siyo mazayuni?
 
I dont take advice kutoka kwa watu wanaocheat wanawake zao then wanakuja kuringishia humu jukwaani kwenye mamilioni ya watu.

Thanks!
Ni mtizamo TU, don't take it too personal😊
 
Kuzaliwa North Korea ni aheri kuzaliwa ndani ya jela kwa nchi za Magharibi.

Wananchi wa North Korea wamezuiwa kusherehekea hata Christmas eti ni sherehe ya kimagharibu, badala yake wanatakiwa kusherehekea siku aliyozaliwa bibi yake Kim. Jong Un.

North Korea ukipatikana na biblia, au mkakusanyika kusali, adhabu ni jela miaka 15.

Kama umezaliwa Korea kaskazini ni marufuku kutoka nje ya nchi.

North Korea ukipatikana umevaa jeans au nguo yoyote inayotafsiriwa ni ya kimagharibi, adhabu ni jela.

Ukinunua TV lazima uipeleke polisi ikaandikishwe na ikawe tuned kwa station ya North Korea.

North Korea, hakuna anayeruhusiwakutumia internet.

Hayo ni machache, yanayoshangaza.
Hoja ya ajabu sana hii ni lazima kusherehekea krismass,je kama enjili haikufuka huko wao wataiajuaje krismass?
Kwani kuvaa jeans ni Sheria ya Dunia?
Kwamba ukivaa jeans wewe utakua umestaarabika?
Je si ruhusa Kila nchi kulinda tamaduni zake?
Mfano NOKO wameona kutosherehekra krismass na kutovaa jinsi ni kulinda tamaduni zao,Sasa mnawalazimishaje?
Kukataza kutazama chanel za west kwenye TV ni muendelezo wa kulinda tamaduni zao zisiathiriwe na tamaduni za west mfano wanaume kwa wanaume kuoana ama wanawake kwa wanawake kuoana au binadamu kuoa mnyama,huu ndio uhuru Noko wanakataza kuonesha kwenye tv zao,sasa hapa kosa lao ni lipi?
Kwa Nini nchi ikiamua kwa dhati kulinda utamaduni wake dhidi ya west mnawaona hawana haki?
Kwa Nini mnataka Dunia nzima ifuate tamaduni za Magharibi?
Na ni nani aliesema tamaduni zote za Magharibi ndio tamaduni sahihi.
Sasa ona kasoro hii kwa mujibu wa biblia.
Na kwa kupitia mafundisho ya biblia ndio tunaweza kusherehekea krismass.,Sasa ajabu, biblia inakataza wanaume kwa wanaume kuingiliana na Mungu alitoa adhabu Kali sana sodoma na gomora,biblia hiyohiyo ndio wa Magharibi wanaiona Noko haiwaruhusiu watu wale wawe nayo lakini baadhi ya mambo ambayo yamekatazwa kwenye biblia hiyohiyo wamagharibi hawayafuati.
Kwa kifupi wamagharibi wanamiliki biblia lakini hawafuati yaliyomo kwenye biblia.Ina faida Gani Sasa.?
Wanatulazimisha tuweke kwenye katiba zetu uhuru wa ndoa za jinsia moja tukipinga wanasema tunakiuka haki za binadamu, je huku sio kulazimisha tamaduni ambazo sio zetu?
Sasa vitu kama hivi ndio north Korea hawavitaki.
West wakubali kuheshimu tamaduni za wengine sio kulazimishana.
 
Kwa hizi akili za Kim Jong Un na namna ambavyo anahangaika kutafuta vita na the Western world ni dhahir kuwa nchi imemshinda na tusipokaa vizuri mjinga huyu atatupeleka kwenye WWIII

Kwanza Kim ndo anaongoza kwa kuwa na hostages wengi zaidi in the world kwani anaongoza watu Milioni 26 ambao hawana uhuru wa kufanya chochote.

Kim ni Psycho. Hivi kwanini UN Security Council isikae chini ikavote kumtoa huyu maniac madarakani?

Ikafanyika coup flani hivi ya kibabe ikiongozwa na Western countries ili North Korea iwe huru?

Au ipitishwe UN resolution tu kuamua kwamba dunia nzima tunaunda jeshi la kumtoa Kim madarakani?

Kama ni nyuklia hata US anazo. Nini kinasababisha tusiweze kumdhibiti huyu kiumbe?

Hizi ni baadhi ya headlines zinaoonesha jinsi Kim anavyotafuta vita ya tatu ya dunia kwa nguvu.

UMEMSHINDWA MAFWELE NDO UJE UMUWEZE HUYU?
 
Mumvamie mtu ambaye anaongoza taifa lake kwa utashi wake? Are you mad! Lile ni taifa huru mwacheni afanye anachotaka kumvamia ndio kutafta majanga sababu yule kurusha nuclear hajiulizi mara mbili
Apambane na yalio kwenye uwezo na wigo wake! Kashindwa hata kumwondoa mwanae kikojozi nyumbani,haya ya wenye mataifa yao atayawezea wapi
 
Back
Top Bottom