Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
- Thread starter
- #121
Mtanzania kashindwa kuuvamia umasikini katika nchi yake, anakaa anajadili mambo ya kufikirika
Mkuu kama unataka habari za mambo ya umasikini wa watanzania unaweza kwenda kwenye jukwaa la siasa au habari na hoja mchanganyiko.
Tupo hapa kuongelea na kupashana mambo ya kimataifa kama jukwaa lisemavyo.
Sasa ulifuata nini kwenye hili jukwaa kama unajua Tanzania ina umasikini?
Na kuongelea mambo ya North Korea inaingilianaje na mambo ya uchumi wa Tanzania? Kwamba tusipoongelea mambo ya North Korea ndo umasikini utaisha Tanzania?