Hivi haiwezekani dunia nzima tukaungana tukaivamia North Korea kupitia UN na kumtoa Kim Jong Un madarakani?

Hivi haiwezekani dunia nzima tukaungana tukaivamia North Korea kupitia UN na kumtoa Kim Jong Un madarakani?

Baraza la usalama la umoja wa mataifa halina mamlaka yoyote ikiwa nchi moja yenye veto itakataa. Kwenye baraza la usalama la umoja wa mataifa Russia, China, Marekani, Uingereza na Ufaransa ndio wanaoweza kupitisha azimio la kuivamia nchi yoyote ile lakini ni hadi azimio hilo likubaliwe na wote, ikitokea nchi moja imekataa azimio hilo linakuwa batili.

North Korea imepakana na Russia na China kujaribu kuisogelea tu Russia na China haziwezi kukubali maana adui yao atakuwa amewakaribia kwahiyo ni hatari hata kwa west wenyewe kwa sababu Russia na China haziwezi kuruhusu hilo.
Kuivamia Iraq,hizi nchi tajwa hazikuruhusu mbona ilivamiwa hapo je?!!
 
Mumvamie mtu ambaye anaongoza taifa lake kwa utashi wake? Are you mad! Lile ni taifa huru mwacheni afanye anachotaka kumvamia ndio kutafta majanga sababu yule kurusha nuclear hajiulizi mara mbili
Korea Kaskazini sio taifa la Kiduku Kim, pia Korea Kaskazini sio taifa huru, ni mateka wa wa familia ya Kim.
 
The Matrix system imetawala kichwa chako kiasi kwamba unajiona ni mjanja na unajiona umemaliza kila kitu, bure kabisa wewe.
 
Kwa hizi akili za Kim Jong Un na namna ambavyo anahangaika kutafuta vita na the Western world ni dhahir kuwa nchi imemshinda na tusipokaa vizuri mjinga huyu atatupeleka kwenye WWIII

Kwanza Kim ndo anaongoza kwa kuwa na hostages wengi zaidi in the world kwani anaongoza watu Milioni 26 ambao hawana uhuru wa kufanya chochote.

Kim ni Psycho. Hivi kwanini UN Security Council isikae chini ikavote kumtoa huyu maniac madarakani?

Ikafanyika coup flani hivi ya kibabe ikiongozwa na Western countries ili North Korea iwe huru?

Au ipitishwe UN resolution tu kuamua kwamba dunia nzima tunaunda jeshi la kumtoa Kim madarakani?

Kama ni nyuklia hata US anazo. Nini kinasababisha tusiweze kumdhibiti huyu kiumbe?

Hizi ni baadhi ya headlines zinaoonesha jinsi Kim anavyotafuta vita ya tatu ya dunia kwa nguvu.

china na russia lazima wata veto hiyo resolution haitapita
 
Kwa hizi akili za Kim Jong Un na namna ambavyo anahangaika kutafuta vita na the Western world ni dhahir kuwa nchi imemshinda na tusipokaa vizuri mjinga huyu atatupeleka kwenye WWIII

Kwanza Kim ndo anaongoza kwa kuwa na hostages wengi zaidi in the world kwani anaongoza watu Milioni 26 ambao hawana uhuru wa kufanya chochote.

Kim ni Psycho. Hivi kwanini UN Security Council isikae chini ikavote kumtoa huyu maniac madarakani?

Ikafanyika coup flani hivi ya kibabe ikiongozwa na Western countries ili North Korea iwe huru?

Au ipitishwe UN resolution tu kuamua kwamba dunia nzima tunaunda jeshi la kumtoa Kim madarakani?

Kama ni nyuklia hata US anazo. Nini kinasababisha tusiweze kumdhibiti huyu kiumbe?

Hizi ni baadhi ya headlines zinaoonesha jinsi Kim anavyotafuta vita ya tatu ya dunia kwa nguvu.

Wewe mbona ni hostage wa madhehebu ya dini...jikombowe kanza na hayo madhehebu ndiyo uweze kuona vema kukitoa kibanzi ndani ya jicho la mwenzio.
 
Back
Top Bottom