Hivi haiwezekani dunia nzima tukaungana tukaivamia North Korea kupitia UN na kumtoa Kim Jong Un madarakani?

Hivi haiwezekani dunia nzima tukaungana tukaivamia North Korea kupitia UN na kumtoa Kim Jong Un madarakani?

Kwa hizi akili za Kim Jong Un na namna ambavyo anahangaika kutafuta vita na the Western world ni dhahir kuwa nchi imemshinda na tusipokaa vizuri mjinga huyu atatupeleka kwenye WWIII

Kwanza Kim ndo anaongoza kwa kuwa na hostages wengi zaidi in the world kwani anaongoza watu Milioni 26 ambao hawana uhuru wa kufanya chochote.

Kim ni Psycho. Hivi kwanini UN Security Council isikae chini ikavote kumtoa huyu maniac madarakani?

Ikafanyika coup flani hivi ya kibabe ikiongozwa na Western countries ili North Korea iwe huru?

Au ipitishwe UN resolution tu kuamua kwamba dunia nzima tunaunda jeshi la kumtoa Kim madarakani?

Kama ni nyuklia hata US anazo. Nini kinasababisha tusiweze kumdhibiti huyu kiumbe?

Hizi ni baadhi ya headlines zinaoonesha jinsi Kim anavyotafuta vita ya tatu ya dunia kwa nguvu.

Kim abamiwe kwani ameikosea nini dunia? Among the best country duniani ni North Korea
 
Kwa hizi akili za Kim Jong Un na namna ambavyo anahangaika kutafuta vita na the Western world ni dhahir kuwa nchi imemshinda na tusipokaa vizuri mjinga huyu atatupeleka kwenye WWIII

Kwanza Kim ndo anaongoza kwa kuwa na hostages wengi zaidi in the world kwani anaongoza watu Milioni 26 ambao hawana uhuru wa kufanya chochote.

Kim ni Psycho. Hivi kwanini UN Security Council isikae chini ikavote kumtoa huyu maniac madarakani?

Ikafanyika coup flani hivi ya kibabe ikiongozwa na Western countries ili North Korea iwe huru?

Au ipitishwe UN resolution tu kuamua kwamba dunia nzima tunaunda jeshi la kumtoa Kim madarakani?

Kama ni nyuklia hata US anazo. Nini kinasababisha tusiweze kumdhibiti huyu kiumbe?

Hizi ni baadhi ya headlines zinaoonesha jinsi Kim anavyotafuta vita ya tatu ya dunia kwa nguvu.

Badala ya kusema na kuomba Mungu nguvu za kuiteketeza USA na washirika wake wewe unamshikilia N.korea.
Huwenda kichwa chako kina matatizo ya kifikra.
*USA imeharibu Bikini Islands kwa kufanya majaribio ya biological weapons.
*USA imeharibu amani Afrika Kaskazini,Mashariki ya Kati na Asian Pacific.
*USA ametawala mataifa mengi kikoloni mambo leo kwa mwamvuli wa UN.
*USA anefadhili mapinduzi ya serikali nyingi ambapo hayo mapinduzi yameleta maafa katika hizo nchi mathalan Iraq, Libya,Egypt, Afghanistan n.k n.k.
*USA anaingilia sovereignty za mataifa ya watu yakienda kinyume na maslahi yake na kuyawekea vikwazo vya kiuchumi na kuyaharibia uchumi mathalan Cuba,Venezuela,Iran,Russia.
*USA inalazimisha agenda ya ushoga na uasherati kama sehemu ya haki za binadamu kwa mwamvuli wa misaada ya UN.

Ifikie hatua muamke kiakili na akili ikae sawa mufikirie kwa utuo.
NINGEOMBA UNILETEE GLOBAL NEGATIVE IMPACTS ZA NORTH KOREA AMBAZO ZINAKUFANYA UTAKE IVAMIWE NA UTAWALA WAKE UONDOLEWE??
NASUBIRI JIBU.
 
Back
Top Bottom