Hivi haiwezekani hata na Nchi hii nayo tukafanya kama Bandari?

Hivi haiwezekani hata na Nchi hii nayo tukafanya kama Bandari?

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Mi sioni tatizo kwa kweli kuwapa hao jamaa wa Dubai Bandari. Ni kama tumechelewa kidogo ilitakiwa kufanya hivi toka mwaka 2020.

Nyie watu acheni nyie. Msidhani kuendesha nchi ni kitu rahisi... Acheni kabisa. Yaani naangalia namwona Rais anateseka kweli. Najiuliza hawezi kweli hata kuangalia kama anaweza iuza na nchi nayo iwe inaongozwa na watu wenye uwezo?

Hili nalo likaangaliwe nchi ishakuwa ngumu hii. Iuzwe tu wapewe watu wenye uwezo wa kuongoza. Mimi race yao sijali la msingi tu wawe na uwezo faida zipo nyingi kama za kuwapa wawekezaji wa Bandari.

Lakini kama wakiweza pata mtu anapesa nzuri akanunua nchi yote halafu wakampa kila mtanzania pesa yake akafie mbele ingekuwa nzuri zaidi. Watu tukajiangalie kivingine. Mimi natamani sana niende Rwanda kule kuna madem wakali sana. Nikikabidhiwa pesa yangu naenda omba uraia kule. Ingawa Mwigulu nadhani alihongwa kipindi kile anatutaka tuende Burundi. Burundi hakuna watoto wakali kama Ruanda.
 
Kwaakili Yako ndogo nikujuze tu Mwigulu ndiye kafanya uchumi usimame imara namna hii ukitaka kujua waulize wakenya ma role model wenu kinachowapata
 
Kwaakili Yako ndogo nikujuze tu Mwigulu ndiye kafanya uchumi usimame imara namna hii ukitaka kujua waulize wakenya ma role model wenu kinachowapata
Huko uchawani mnalipwa kiasi Gani wakuu mbona hamsemi?. Mwigulu kimba tu kama makimba mengine
 
Hawatakuelewa. Ila mimi nimekuelewa ni kwamba walizopewa wapiga makofi na sisi ma-laymen tupewe maana nchi ni yetu sote.
 
Naunga mkono hoja, kama hivi liwe jimbo la USA tu...tuwe tunapiga kura kuchagua Democracy au Republican.

Free entry kwa watz wote pale NYC na wote tunatumia pass ya mnyamwezi, huku tunakuwa na senator wetu Sugu au Prop J na Mzee wetu Rungwe kutoka bahari motors.
 
Kwaakili Yako ndogo nikujuze tu Mwigulu ndiye kafanya uchumi usimame imara namna hii ukitaka kujua waulize wakenya ma role model wenu kinachowapata
naonj umeamua kupga kampeni,kwa mtu ambaye hafai ata kuongoza kundi la ngombe
 
Back
Top Bottom