Hivi Haji Manara anafanya shughuli gani ya kumuingizia kipato hapo Dar?

Hivi Haji Manara anafanya shughuli gani ya kumuingizia kipato hapo Dar?

Mimi namuona kwenye mitandao ya kijanii kutwa ni kujimwambafai tu kuwa anamiliki pisi kali,mara wako wanafuturu kwenye mahotel makubwa.lkn kiukweli huyu jamaa sijui anafanya shughuli gani ya kumpatia pesa za kula bata namna hiyo.
Mwenye kujua anijuze tafadhali.
Mzee Magoma alishasema!
 
mil 180k =180,000,000,000, 000 mkuu upo serious kwel? au haujui k inasimama badala ya nn?
Ndio jamaa hapo juu amesema manara anaingiza milioni mia Moja na themanini net kwa mwezi kupitia YouTube channel yake. Mimi numemkatalia
 
Mimi namuona kwenye mitandao ya kijanii kutwa ni kujimwambafai tu kuwa anamiliki pisi kali,mara wako wanafuturu kwenye mahotel makubwa.

Lakini kiukweli huyu jamaa sijui anafanya shughuli gani ya kumpatia pesa za kula bata namna hiyo.
Mwenye kujua anijuze tafadhali.
Unataka na wewe uwe kama manara nkupe code?
 
Mimi namuona kwenye mitandao ya kijanii kutwa ni kujimwambafai tu kuwa anamiliki pisi kali,mara wako wanafuturu kwenye mahotel makubwa.

Lakini kiukweli huyu jamaa sijui anafanya shughuli gani ya kumpatia pesa za kula bata namna hiyo.
Mwenye kujua anijuze tafadhali.
Unataka akuoe ??
 
Mimi namuona kwenye mitandao ya kijanii kutwa ni kujimwambafai tu kuwa anamiliki pisi kali,mara wako wanafuturu kwenye mahotel makubwa.

Lakini kiukweli huyu jamaa sijui anafanya shughuli gani ya kumpatia pesa za kula bata namna hiyo.
Mwenye kujua anijuze tafadhali.
Anapewa msaada na GSM si mlemavu Yule!
 
Mimi namuona kwenye mitandao ya kijanii kutwa ni kujimwambafai tu kuwa anamiliki pisi kali,mara wako wanafuturu kwenye mahotel makubwa.

Lakini kiukweli huyu jamaa sijui anafanya shughuli gani ya kumpatia pesa za kula bata namna hiyo.
Mwenye kujua anijuze tafadhali.
Mlemavu classic ambaye utumia ulemavu wake kama kinga asiguswe
 
Msipigane kwaajir ya maisha ya mwingine, kwenye mafanikio Kuna siri nyingi inawezekana hata mtoa mada Kuna watu wanahoji unafanya shughuri gani! Sas swala maisha ya mtu wakutoa majibu ni muhusika mwenyewe! Pambana na maisha acha wengine waendeleee kuishi
 
Back
Top Bottom