Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Manara tvChaneli_O ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manara tvChaneli_O ?
Chawa tuMimi namuona kwenye mitandao ya kijanii kutwa ni kujimwambafai tu kuwa anamiliki pisi kali,mara wako wanafuturu kwenye mahotel makubwa.
Lakini kiukweli huyu jamaa sijui anafanya shughuli gani ya kumpatia pesa za kula bata namna hiyo.
Mwenye kujua anijuze tafadhali.
Ingekua wewe haikuhusu usingekuja kucomment hapaWe inakuhusu nini?
Hakika mkuuUkichunguza sana vya gizani na giza litakuchunguza.... epuka kuchunguza visivyo kuhusu🐼
Audience ya channel yake kwa kiasi kikubwa ni kutoka dunia ya 3 na google wanairank kama Tier 3, kwahiyo kwa namba za channel yake hawezi kufika hata nusu ya hicho kiwango labda kama ana local sponsors wanaolipia pesa kubwa ila sio Adsense.estimation nimeifanya kutokana na Youtube channel yake nimefanya. Mengine labda umuulize yeye .
$ ya Zimbabwe au ya Trump?Youtube peke yake hakosi 70000$ kwa mwezi
Hivi mkuu waweza kufasiri mambo yanayomhusu mtu ni yapi?Ukichunguza sana vya gizani na giza litakuchunguza.... epuka kuchunguza visivyo kuhusu🐼
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaume wa jf mna muda mwingi sana njooni mnichunguze na mimi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]$ ya Zimbabwe au ya Trump?
Kauliza vyanzo vya mapato, vilivyo dhahiri kama On-line TV channel yake hivyo it's OK lakini visivyo wazi aelewe hiyo ni private territory(very personal) kujaribu kupenya humo ni trespassing.Hivi mkuu waweza kufasiri mambo yanayomhusu mtu ni yapi?
Nadhani jibu lako laweza kuwa ni mambo unayomiliki personal!
Mwenziyo ninavyoelewa ni kuwa, mambo yanayonihusu ni yale ninayomiliki, yote yanayonizunguka kijiografia, ninayoyafanya, ninayoyaona, ninayoyasikia, ninayoyasoma nk nk ni mada pana.
Personality pamoja na maisha ya Manara yanamhusu huyo mdau mtoa mada anayefuatilia kuuliza humu kwa sababu yameanikwa mtandaoni na kayasoma.
Hapo sasa umeeleweka.Kauliza vyanzo vya mapato, vilivyo dhahiri kama On-line TV channel yake hivyo it's OK lakini visivyo wazi aelewe hiyo ni private territory(very personal) kujaribu kupenya humo ni trespassing.
Ni uchoko kuchimba vyanzo vya mapato ya watu.
Youtube peke yake hakosi 70000$ kwa mwezi
muulize mwijakuMimi namuona kwenye mitandao ya kijanii kutwa ni kujimwambafai tu kuwa anamiliki pisi kali,mara wako wanafuturu kwenye mahotel makubwa.
Lakini kiukweli huyu jamaa sijui anafanya shughuli gani ya kumpatia pesa za kula bata namna hiyo.
Mwenye kujua anijuze tafadhali.
We inakuhusu nini?
why, kwa sababu ni albino?Mimi namuona kwenye mitandao ya kijanii kutwa ni kujimwambafai tu kuwa anamiliki pisi kali,mara wako wanafuturu kwenye mahotel makubwa.
Lakini kiukweli huyu jamaa sijui anafanya shughuli gani ya kumpatia pesa za kula bata namna hiyo.
Mwenye kujua anijuze tafadhali.
Yaani unamaanisha Tsh. milioni 170 kwa mwezi?
Acha kudanganya watu mkuu ... Tsh mil 180k??
Wewe kijana bhna kwa millard ndio anapokea pesa nyingi youtube? Hata top 10 huyo hayupoKama huyu YouTube hakosi dollar 70k kwa mwezi basi Millardayo hakosi dollar 700k kwa mwezi.