Hivi hakuna ahsante nyingine?

Hivi hakuna ahsante nyingine?

Alisikitika akilia umemuongezea maumivu zaidi 7bu Mumewe alichepuka akaungua na alianzisha vurugu makusudi ili Ke ajisepeshe bila ya kumuambukiza, lkn aliporudiana na Me ndipo alipojuta sana 7bu amepoteza hadi afya yake na hana namna zaidi ya kukuambukiza tu nawe mfe wote[emoji87]
Sijui nifanye nini? Sielewi nini hiki kimenitokea, sina amani ya roho na mwili
 
We n bonge la msaliti.

Umemsaliti msela wako
Hufai kuigwa katika jamii.
Salam wakuu. Hakika nimepata mgagasiko WA nafsi na roho katika hili. Dada zetu na mama zetu mmekua mkitumia miili yenu kama sehemu ya ahsante pale mnapo tendewa jambo Fulani jema au haya kusaidiwa matatizo madogomadogo. Nayazungumza haya kwa uchungu kwa hili lililo nikuta mei mosi ya leo. Kuna ndugu ninafanya nae kazi alikua na tatizo kubwa katika ndoa yake kiasi alikua hana raha kabisa na akaniomba msaa da wa kusuluhisha mgogoro wao, nilikubali na kwa kuanza ilibidi aniunganishe na bibie ambaye ndio mwenza wake nami nikazungumza nae kwa kina nisiwachoshe sana nilifanikiwa kusuluhisha mgogoro na kuwafanya warudiane.Jana asubuhi bi dada akanipigia cm na kuniomba tuonane baada ya mid a ya kazi mi muhimu nikamuuliza kwema akasema mi kwema.Kwakua jamaa hayupo wiki sasa nikamtaarifu kuwa bibie kanambia nionane nae akasema poa. Baada ya kazi nikampigia akanambia niende kwake sikuona tatizo ni mitaa kadhaa kutoka kwangu.Baada ya stori mbili tatu bibie akaanza kulia sana kiasi nilipatwa na mshangao na bumbuwazi nini NASA chanzo cha kilio kile, nikajaribu kimbembeleza mpaka ikabidi no mkumbatie na kumbembeleza zaidi.Hakika sijui ilikuwaje mpaka sasa siamini nilicho kifànya na jamaa kanitext this morning anauliza niliitiwa kitu gani? Hivi Hanna ahsante nyingine zaidi ya mwili maana kwa Maelezo yake nikua amenipa ahsante kwa kuwafanya wawe pamoja. Wasalam!
 
Unasuruhisha mkiwa watatu then unarudi kuprove kile ulichosuruhisha baadae mkiwa wawili. Yaani kama kumpa Messi mpira halafu kuna mabeki wawili mbele yake anachokifanya ni kufinya tu halafu wayaaaa!
 
Ukiwa mahali popote na ukaonyesha huruma kwa mwanamke kwa kumsaidia jambo lolote wakati wa uhitaji, uwezekano wa kutunukiwa ni mkubwa. Ndio maana wale watu usiotegemea au wenye kipato kidogo kulingana na hao wanawake au waume zao, ndio wanaotunukiwa kirahisi.
 
Back
Top Bottom