Hivi hakuna kabisa uwezekano wa kuzungumza kuhusu Mungu nje ya msamiati wa kiyahudi?

Hivi hakuna kabisa uwezekano wa kuzungumza kuhusu Mungu nje ya msamiati wa kiyahudi?

Fantasia

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2017
Posts
1,071
Reaction score
832
Dhana ya Mungu ilikuweko tangu enzi na enzi, dhana hii ilijitokeza kukidhi mahitaji ya watu husika kutokana na mazingira na asili zao, wakati huo kabla ya Talmudi, biblia, Wala Qurani kuweko, ni staarabu kongwe Za Africa, Uajemi, Mesopotamia, Uchina na kusini mwa bara la America ndio dhana ya uungu, dini na imani zilikoshamiri, kukiwa na itikadi Za miungu wengi na Mungu mkuu wa Miungu, Ambayo hatimaye ikaazalisha dhana ya Mungu mmoja Ama ATEN kwa mara ya Kwanza kunako Misri ya kale hapa hapa bara la Africa katika utawala wa Farao Akhenaten. Hii namna ya Mungu mmoja, wa kiyahudi, kikiristo na wa Kiislamu ni tengenezo changa tu la karibuni, Ambalo agenda yake kimsingi ilikuwa ya kisiasa na utawala, na hivyo kwa mara ya kwanza kabisa na awali ustaarabu wa binadamu chini yake ukashuhudia majanga mkubwa ya ubaguzi wa rangi, utumwa, dhuluma ya kiuchumi na vita kote duniani..

*ikumbukwe pia wakati huo wakazi na wenyeji wa maeneo yote hayo walikuwa watu weusi, Bara la Africa likiwa limeungana na bara Asia, weusi walifika hadi uchina na kupandikiza staarabu Za awali huko, angalia wajenzi wa majengo ya kale wote walikuwa wa asili na mbari ileile. hadi Stonehenge, hadi Gautama Buddha alikuwa mtu mweusi. Fumbo la dunia liko hapo, mweusi amenyimwa nyumba ya ibada yake kwa makusudi, kwani wanajua akirejea ibada asilia hekaluni mwetu, dunia tutairudisha katika utaratibu asilia na sheria takatifu Za miungu.

ndugu msomaji, je una mchango gani, kukabiliana na hali hiii
Asanteni, na karibuni
 


Once upon a time early primitive humans imagined a sky god and worshipped him as the giver of life. Cults were formed around different interpetations of the god meme, wars were fought for dominance of each tribe’s god. A winner emerged, the most virulent and violent memeplex of all swept the world and now holds half the world captive in the form of the Abrahamic religions.



In competition to dominate territory, the worst religions emerged the victors. The nice guys finished last, in fact many of them were finished off according to the Old Testament: every man, woman, and child put to death. That is what God not only wanted, it was what he commanded.

“When the Lord your God brings you into the land where you are entering to possess it, and clears away many nations before you, the Hittites and the Girgashites and the Amorites and the Canaanites and the Perizzites and the Hivites and the Jebusites, seven nations greater and stronger than you, and when the Lord your God delivers them before you and you defeat them, then you shall utterly destroy them. You shall make no covenant with them and show no favor to them,”



This version of god survives because, according to memetics, it is the most virulent of the god memeplexes: the Jews obliterated their competition leaving their book as the fittest survivor not because it was right but because it was the most violent. The Bible has nothing to do with the real ‘god’, is simply text that justifies the violent behavior of primitive minds which are represented best by Jewish behavior.



Those god versions that preached a nice god theory were wiped off the face of the earth. The god that remains, the remaining one god of the thousands believed in, was angry and jealous. This is what Christians worship – the exact wrong idea that we should have about god. Christians may not be doing the violence themselves but it is done through their proxy, the state.



For instance, the entire Evangelical community that believes in Jesus also supports violent Israel which is obliterating the Arab states and decimating Palestine. This state violence is ignored by those following Israel, they stick with the false narrative presented by the Jewish media. If confronted, Christians will deny that they are responsible for the criminal government and what it is doing over in the Middle East. They will deny that Israel did 911.

Humanity is facing an existential crisis because the violent traditions of the Jewish god remain with us today. This crazy God of the Jews is unfortunately still alive and now taking the form ISIS whose favorite execution method is head chopping. Jewish commanders are organizing these monsters and having them kill the Old Testament way.

Bible believers are not going to just give up and surrender their precious evil god for stuff like reason, logic, science or evidence. They don’t care about facts, their minds are made up, Jesus is coming back any day now to save them from reality. Christians are stalwart supporters of the Jewish World Order even if they say they don’t like the New World Order.
 
Dhana ya Mungu ilikuweko tangu enzi na enzi, dhana hii ilijitokeza kukidhi mahitaji ya watu husika kutokana na mazingira na asili zao, wakati huo kabla ya Talmudi, biblia, Wala Qurani kuweko, ni staarabu kongwe Za Africa, Uajemi, Mesopotamia, Uchina na kusini mwa bara la America ndio dhana ya uungu, dini na imani zilikoshamiri, kukiwa na itikadi Za miungu wengi na Mungu mkuu wa Miungu, Ambayo hatimaye ikaazalisha dhana ya Mungu mmoja Ama ATEN kwa mara ya Kwanza kunako Misri ya kale hapa hapa bara la Africa katika utawala wa Farao Akhenaten. Hii namna ya Mungu mmoja, wa kiyahudi, kikiristo na wa Kiislamu ni tengenezo changa tu la karibuni, Ambalo agenda yake kimsingi ilikuwa ya kisiasa na utawala, na hivyo kwa mara ya kwanza kabisa na awali ustaarabu wa binadamu chini yake ukashuhudia majanga mkubwa ya ubaguzi wa rangi, utumwa, dhuluma ya kiuchumi na vita kote duniani...
ndugu msomaji, je una mchango gani, kukabiliana na hali hiii
Asanteni, na karibuni
Hapa nakubaliana na wewe kabisa. Mara nyingi watu wanaamini dhana ya Mungu waliyokuzwa nayo, na hawajishughulishi kutafuta ukweli zaidi.
 
Mungu na miungu iko, hii haihitaji hata ushuhuda wa miaka hiyo ya kina Musa, Yakobo, Isihaka na Ibrahim. Maisha ya Yesu hapa miaka 2000 tu iliyopita ni ushahidi tosha kuwa kuna miungu na Mungu mkuu. Hata maisha haya tuishio leo uko ushahidi kuna Mungu na miungu. Wako wanao mtegemea Mungu Mkuu na wategemeao miungu, na tofauti za kiroho na kimwili katika hawa ziko wazi kwa kila anayetaka kuzijua.
 
Mungu na miungu iko, hii haihotaji hata ushuhuda wa miaka hiyo ya kina Musa, Yakobo, Isihaka na Ibrahim. Maisha ya Yesu hapa miaja 2000 tu iliyopita ni ushahidi tosha kuwa kuna miungu na Mungu mkuu. Hata maisha haya tuishio leo uko ushahidu kina Mungu na miungu. Wako wanao mtegemea Mungu Mkuu na wategemeao miungu, na tofauti za kiroho na kimwili ziko wazi kwa kila anayetaka kuzijua.
Kama mungu ni mmoja tena mkuu ilikuwaje hakawa anahabudiwa tofauti?
 
Dhana ya Mungu ilikuweko tangu enzi na enzi, dhana hii ilijitokeza kukidhi mahitaji ya watu husika kutokana na mazingira na asili zao, wakati huo kabla ya Talmudi, biblia, Wala Qurani kuweko, ni staarabu kongwe Za Africa, Uajemi, Mesopotamia, Uchina na kusini mwa bara la America ndio dhana ya uungu, dini na imani zilikoshamiri, kukiwa na itikadi Za miungu wengi na Mungu mkuu wa Miungu, Ambayo hatimaye ikaazalisha dhana ya Mungu mmoja Ama ATEN kwa mara ya Kwanza kunako Misri ya kale hapa hapa bara la Africa katika utawala wa Farao Akhenaten. Hii namna ya Mungu mmoja, wa kiyahudi, kikiristo na wa Kiislamu ni tengenezo changa tu la karibuni, Ambalo agenda yake kimsingi ilikuwa ya kisiasa na utawala, na hivyo kwa mara ya kwanza kabisa na awali ustaarabu wa binadamu chini yake ukashuhudia majanga mkubwa ya ubaguzi wa rangi, utumwa, dhuluma ya kiuchumi na vita kote duniani...
ndugu msomaji, je una mchango gani, kukabiliana na hali hiii
Asanteni, na karibuni
Hapa na mimi napingana na wewe

Hakuna dhana Bora Duniani ielezayo habari za uungu kwa ubora wake kama ya kiyahudi

Katika kusoma kwangu vitabu napenda sana Mtunzi kitabu awe ni mtu mwenye kukiri madhaifu yake(sijui kitaalamu wanaitaje hii hali)

Iyo ndio sifa pekee inayofanya vitabu vya kiyahudi kuwa Bora na kutegemeka_havipendi kujipa Fagio kirahisi na kwa ushawishi.

Na namna yake ya uandishi inaamsha udadisi na ndio maana vinategemeka kwenye kufundishia_Mataahira yote yawe na utimamu(samahani kwa ukali wa neno_imebidi nilitumie)

Vitabu vyao vina mlango wa kuingilia na kutokea usipoona wa kutokea ujue Bado hujakwiva.




 
Hakuna dhana Bora Duniani ielezayo habari za uungu kwa ubora wake kama ya kiyahudi
Je wajua wajua wayahudi wameiba kutoka mafundisho ya dini nyingi za kale, ndio wakatengeneza dini yao????? Hakuna kipya chini ya jua
 
Back
Top Bottom