Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kuangalia picha kubwa ya ujumla katika ujumbe wakeFafanua
unadhania haya ni masihara, kuna wenzio walikufa huku wamesimama, kutukana vitu wasivyovijua, endelea tuHiyo miungu yenu mabitozi wanaogopa hata kuku, wataanzaje kunipa kwa laana?
Sasa ninailaani hiyo miungu yenu, na madhabahu zake, na makuhani wake, na sadaka zote mlizozitoa, na ninayavunja na maashera yenu, na vyote nilivyokuwa chini ya miungu hiyo vimelaaniwa
Naomba unipe faida hapo kidogo. Hivi wayahudi wanamuelezea vipi Mungu mpaka wewe ukawaona ni bora katika jambo hilo. Ukinipa na mifano utakuwa umenisadia sana mimi na wale mfano wangu.Hapa na mimi napingana na wewe
Hakuna dhana Bora Duniani ielezayo habari za uungu kwa ubora wake kama ya kiyahudi
Katika kusoma kwangu vitabu napenda sana Mtunzi kitabu awe ni mtu mwenye kukiri madhaifu yake(sijui kitaalamu wanaitaje hii hali)
Iyo ndio sifa pekee inayofanya vitabu vya kiyahudi kuwa Bora na kutegemeka_havipendi kujipa Fagio kirahisi na kwa ushawishi.
Na namna yake ya uandishi inaamsha udadisi na ndio maana vinategemeka kwenye kufundishia_Mataahira yote yawe na utimamu(samahani kwa ukali wa neno_imebidi nilitumie)
Vitabu vyao vina mlango wa kuingilia na kutokea usipoona wa kutokea ujue Bado hujakwiva.
Kumbe mmetumwa.... Ndio maana hizi thread za kumkana mungu zimekuwa nyingi. Kwa hiyo na nyinyi mliotumwa mmekuja kumtangaza mungu wenu??Nyapara wa yahudi,umekuja na humu pia???? Hebu tuacheni bana, sisi tumetumwa kwa wale wa nyumba ya Khemet, nyinyi mlishaukana ubini, damu, na asili zenu, mkawa wayahudi wa uongo, kaeni mbali nasi, tena onyo, bwana Mungu na miungu yetu itakupigeni kwa laana, hakika mkisimama katika njia yetu
Je unafikiri maana hiyo ni kamilifu ?Wazo chazo, Ama concept
Hivi kaka tutumie nyenzo gani au tupite njia gani ili tuupate huo ukweli ?Hapa nakubaliana na wewe kabisa. Mara nyingi watu wanaamini dhana ya Mungu waliyokuzwa nayo, na hawajishughulishi kutafuta ukweli zaidi.
Hapana, dhana ni fununu kuhusu maana, it's relative, but component and integral part of the absolute truth, Ama maana kuu, ingizo katika jumla kuuJe unafikiri maana hiyo ni kamilifu ?
Dhana ni ni tamko litokanalo na kitendo "Dhania" ,kwa maana hiyo dhana ni jina lenye maana ya kutokuwa na uhakika juu ya kile unakizungumza au kufikiria,na mara nyingi humoelekea mtu katika kukosea.
Je kwa maana hiyo huoni unakosea katika matumizi ya hilo neno ?
kila wanachokifannya wameigaKwanza kwa nini tumfate mungu Wa Israel wakati yeye atujui kabisaa Wa Israel awataki ata sikumoja kumsikia mtu mweusi wana tubagua vibaya mno hivi sis Wa Africa mbona atuyaoni wanao tufanyia awa watu. Papa mzungu kwa nini ajawai kuwa Mchina au muafrica.
Ahh sijui Wa Africa tutazinduka lini? Wame tufanya watumwa, wame tuita masokwe, uyo mkristo Wa ukweli akaoe mu Israel kama atakubaliwa.kila wanachokifannya wameiga
Apo sasaAhh sijui Wa Africa tutazinduka lini? Wame tufanya watumwa, wame tuita masokwe, uyo mkristo Wa ukweli akaoe mu Israel kama atakubaliwa.
Asante sanaWanadamu baada ya kukosa majibu ya baadhi ya vitu ndipo wakamuumba Mungu vichwani mwao.
Ndio! Wapo wachache wanaoujua ukweli lakini wakadhamiria kabisa kutengeneza Mungu wao wa kufikirika ili waipishanishe jamii ya wengi na ukweli halisi