Hivi hakuna kabisa uwezekano wa kuzungumza kuhusu Mungu nje ya msamiati wa kiyahudi?

Hivi hakuna kabisa uwezekano wa kuzungumza kuhusu Mungu nje ya msamiati wa kiyahudi?

yaani " mimi nawashangaa sana "" huwa wanahoja dhaifu sana" ambazo zinatufanya sisi " wafuatiliaji wa mjadala " tubaini kwamba " Humu jf huwa kuna members ambao ni vilaza..hata kuhoji hawajui " na wakihoji basi ni hoja dhaifu "".. na wanapopatiwa hoja pia wanashindwa kujibu ".. hata wanapojibu inakuwa ni majibu dhaifu dhidi ya hoja nzito....wanakera aisee""...

mtu anasema eti upepo una uhai "" eti kaambiwa na Allah " upepo " unazaa unakula " unajamiiana " .na kufanya vitendo vyote ambavyo kiumbe hai huwa anavifanya "" kama kusikia " kunusa etc ..hahaa
kazi ipo
 
Aiseee.." ifike mahala uwe unaheshimu ufahamu wako basiii"" kubishana bishana na watu wenye level ndogo ya Ku changanua mambo " nikujishushia/kujivunjia heshima " mkuu
mwache awaelimishe, akiwaacha watabaki shimoni
 
mwache awaelimishe, akiwaacha watabaki shimoni
Iyo Elimu inayozungumzia Muumba hayupo.!?

Kwamba haya mavitu yaliyotuzunguka kwa utaratibu wa namna hii yametokea kwa bahati Mbaya.!?

Bora nikae gizani sitaki elimu ya namna hiyo inadumaza akili

Na kama havina mwenyewe itakulazimu wewe ujione mwenyewe

Na ndio chanzo cha ujinga wa elimu ya Magharibi na hivyo vyama mnavyoita vya siri kwa kujiona miungu ya dunia_haina kiasi hairidhiki na wingi

We Ulimwengu unaonekana kabisa ni kazi ya sanaa ya Mtu mwenye akili mingi_we uje unilishe vitango Pori eti umetokea Tu..! Kuwaza hafifu kabisa huku

Narudia tena mimi SITAKI labda wengine.
 
achana nao hao ...nimeshasikiliza sana mawaiza yao ..huwa wanasema jua linatokaga mashariki na kwenda magharibi "".. .so usishangae kusikia kwamba " jiwe na upepo vina uhai
Kamwambie ndugu yako awe anahoji usahihi wa vitabu vya watu wa kidini

Lakini asije hapa na kutulisha nyasi Kuwa hakuna muumba sisi sio Ng'ombe

Kama na yeye alishuhudia ulimwengu wakati unatokea kiajali ajali aweke ushahidi

Sio unaleta bla bla wakati dunia ni mwenyeji na yeye mgeni kama sisi..aache zake
 
Upepo una uhai?

Huu ni msimamo wako?

Uhai ni nini?


Kaka jaribu maswali yangu ya awali kwanza kisha nikujibu swali lako. Kanuni ya kujadiliana ni kufata utaratibu wa hoja moja baada ya nyingine,sasa wewe naona unakiuka kanuni za mijadala.

Twende kwa kufuata utaratibu ili tuishi katika kanuni za mijadala.
 
Kaka
achana nao hao ...nimeshasikiliza sana mawaiza yao ..huwa wanasema jua linatokaga mashariki na kwenda magharibi "".. .so usishangae kusikia kwamba " jiwe na upepo vina uhai


Kaka kusikiliza jambo ni jambo moja na kuelewa ni jambo lingine. Ndio maana kinachofata baada ya kusikiliza ni kuzingatia katika kuzingatia ndani yake kuna kuelewa.

Sasa wewe ulisikiliza ila hukuelewa.

Tatizo lenu mmekaririshwa ndio maana hata kufafanua mlicho kiandika pia huwa mtihani mwingine.
 
yaani " mimi nawashangaa sana "" huwa wanahoja dhaifu sana" ambazo zinatufanya sisi " wafuatiliaji wa mjadala " tubaini kwamba " Humu jf huwa kuna members ambao ni vilaza..hata kuhoji hawajui " na wakihoji basi ni hoja dhaifu "".. na wanapopatiwa hoja pia wanashindwa kujibu ".. hata wanapojibu inakuwa ni majibu dhaifu dhidi ya hoja nzito....wanakera aisee""...

mtu anasema eti upepo una uhai "" eti kaambiwa na Allah " upepo " unazaa unakula " unajamiiana " .na kufanya vitendo vyote ambavyo kiumbe hai huwa anavifanya "" kama kusikia " kunusa etc ..hahaa


Sijawahi kuona mtu mwenye maarifa madogo kama wewe,ifike hatua muwe mnaficha ujinga wenu,hii hufanywa baada ya kujitambua na kujua kama hujui jambo fulani,sasa kwa kutokujijua wewe kunakupelekea kuandika ujinga uliotuka.

Kwa ufupi upeo ni mdogo sana kufahamu jambo linalojadiliwa sasa bali sio wewe hata huyu unaye muunga mkono kibubusa.

Yaani kwa upeo wako mdogo eti kiumbe lazima kiwe kina zaa,kiwe kinatembea na kina jamiiana ?

Huu ndio ujinga uliotukuka na kufikiri huku sisi tumekuacha zamani sana. Hatufikiri kinadharia na kwa kanuni za watu mtu ambae dhaifu kuliko udhaifu wenyewe.

Sasa mtu kama wewe inabidi tuanze kukufundisha KIUMBE ni nini na tukupe na mifano,hili ndio tatizo la kutegemea MILANGO YA FAHAMU NA AKILI pekee kama chanzo cha maarifa na kuupata ukweli
 
achana nao hao ...nimeshasikiliza sana mawaiza yao ..huwa wanasema jua linatokaga mashariki na kwenda magharibi "".. .so usishangae kusikia kwamba " jiwe na upepo vina uhai


Halafu si "mawaiza" ni "mawaidha".
 
yaani " mimi nawashangaa sana "" huwa wanahoja dhaifu sana" ambazo zinatufanya sisi " wafuatiliaji wa mjadala " tubaini kwamba " Humu jf huwa kuna members ambao ni vilaza..hata kuhoji hawajui " na wakihoji basi ni hoja dhaifu "".. na wanapopatiwa hoja pia wanashindwa kujibu ".. hata wanapojibu inakuwa ni majibu dhaifu dhidi ya hoja nzito....wanakera aisee""...

mtu anasema eti upepo una uhai "" eti kaambiwa na Allah " upepo " unazaa unakula " unajamiiana " .na kufanya vitendo vyote ambavyo kiumbe hai huwa anavifanya "" kama kusikia " kunusa etc ..hahaa


Kaka nakuhakikishia kabisa huwezi kukosoa hoja zangu hata kwa bahati mbaya. Labda ukosoe matamko yangu sababu nawajua udhaifu wenu ulipo halafu huwa siwazingatii sana nyinyi huwa nawaangalia wale waliowarithisha ujinga huu.

Ujinga ni mzigo na umeshawaelemea kitambo sana.
 
Kaka jaribu maswali yangu ya awali kwanza kisha nikujibu swali lako. Kanuni ya kujadiliana ni kufata utaratibu wa hoja moja baada ya nyingine,sasa wewe naona unakiuka kanuni za mijadala.

Twende kwa kufuata utaratibu ili tuishi katika kanuni za mijadala.
Swali gani unataka nikujibu?

Nikikujibu utathibitisha Mungu yupo?

Utaniambia uhai ambao jiwe linao ni upi na unajihakikishiaje jiwe lina uhai na kwamba hiyobsi hadithi tu?
 
Nimefuatilia comments za wote kwenye hii thread,kwa mara nyingine tena Kiranga anaibuka mshindi.

Nyie waabudu Mungu mmeshindwa kabisa kuthibitisha uwepo wa Mungu wenu mwenye uwezo wote,ujuzi wote na upendo wote.


Kaka uko mbali sana na misingi ya kielimu. Kuna namna kadha wa kadha za kutoa ushahidi juu ya hilo ulilolidai,kuna ushahidi wa kiakili na kuna ushahidi wa kimaandiko (Ufunuo,sababu mimi ni muislamu huwa natumia Qur'an,sunnah na kauli za waja wema waliotangulia).

Mathalani kwa mulahiduun (Atheist),hoja za kiufunuo au maandiko matukufu huwa wanazikataa,huwa najaribu kutumia hoja za kiakili,sasa tatizo linakuja katika suala la kutumia akili,wakana mungu huwa wanafikiria kwa muelekeo mmoja daima dawamu na uelekeo huo ni HASI,kufikiri kwa mtindo huu ni kufikiri kitoto sana.Katika hili mifano iko mingi sana.

Watu hawa kwao wao wanaamini hisi na maada,kitu au jambo kama hulioni,hulishiki wala hulihisi kwao halipo na katu hawatokuelewa.

Maandiko kwetu sisi huwa ni thabati (Ukweli mtupu) na huwa ni njia madhubuti ya kuupata ukweli na ndio maana tumesisitizwa sana tutumie akili sana katika kuelewa maandiko kadhalika na kuzingatia.

Natamani hata walimu wao wangewafundisha namna ya kuzitumia akili zao,lakini maskini hata walimu wao hawakujua akili ni nini ? Mahala pa akili ni wapi,na uko wa akili ni wapi ?

Halafu mtu kama huyu anakuja kujitutumua kuhoji ? Laa ! Wallahi hawatoweza.

Nukta ya mwisho kaka nataka nikukumbushe kitu hasa mimi sishindani na mtu sababu najua ni maana ya kujadiliana na katika kujadiliana sio lazima tufike muafaka,muafaka ni matokeo tu wala si lengo. Hii kanuni chukua.
 
S
Swali gani unataka nikujibu?

Nikikujibu utathibitisha Mungu yupo?

Utaniambia uhai ambao jiwe linao ni upi na unajihakikishiaje jiwe lina uhai na kwamba hiyobsi hadithi tu?


Swali la uwepo wa Mola nikishakujibu kitambo sana tena katika mada nyingine kabisa,kama utakuwa na swali lingine unaweza kuuliza.
 
S



Swali la uwepo wa Mola nikishakujibu kitambo sana tena katika mada nyingine kabisa,kama utakuwa na swali lingine unaweza kuuliza.
Umejibubwapi? Nitajuaje umejibu na si jwamba unakimbia swali tu? Unajuaje kwamba jibu lako halina makosa? Unaweza kuweka link hapa kwenye jibu lako?
 
Nimejibiwa swali kwa swali na mimi naendeleza utamadunibwa kujibubswali kwa swali.

Ni utamaduni mzuri sana wa kuchambua mambo.

Wasomi wanauita "the Socratic Method" kwa sababu Socrates alipenda sana kuutumia.

Nimejibu swali kwa kuuliza.

Kwa nini swali liwe "nani"?

Mtu akimuuliza rangi ya wimbo wa taifa wa Tanzania ni rangi gani, utajibu nini?

Hujajibu maswali yangu.


Kaka usitufanye sisi mazwa mazwa,hujajibu swali bali umekwepa swali.

Nakuuliza tena swali hili kwanini aisiwe nani na awe nini ?

Tena nilikuuliza ni kitu hufanya (kwa kuzingatia mlengo wako wa kutaka iwe nini ?) manii kuwa pande la damu,kisha kuwa pande la nyama,kisha kuwa mifupa na kuvishwa tena nyama,kama ulivyopewa ushahidi wa kimaandiko kutoka katika Qur'an.
 
Nimefuatilia comments za wote kwenye hii thread,kwa mara nyingine tena Kiranga anaibuka mshindi.

Nyie waabudu Mungu mmeshindwa kabisa kuthibitisha uwepo wa Mungu wenu mwenye uwezo wote,ujuzi wote na upendo wote.
Hawawezi kuthibitisha Mungu huyo yupo.

Kwa sababu hayupo.

Zaidi, wanapojibu kwa kutumia hoja kama kifo na ulazima wa designer wa complexity, wanajikuta kwamba hizo hoja zao wanazosema zinaonesha Mungu yupo, ukizichunguza kwa kina kwa kweli zinaonesha Mungu hayupo.

Sasa hivi wanatapatapa mpaka wamefikia kiwango cha kusema upepo una uhai. Wanasema jiwe lina uhai.

Ndiyo watu ninaobishana nao hawa.

Wanasema jiwe kina uhai!
 
Kaka usitufanye sisi mazwa mazwa,hujajibu swali bali umekwepa swali.

Nakuuliza tena swali hili kwanini aisiwe nani na awe nini ?

Tena nilikuuliza ni kitu hufanya (kwa kuzingatia mlengo wako wa kutaka iwe nini ?) manii kuwa pande la damu,kisha kuwa pande la nyama,kisha kuwa mifupa na kuvishwa tena nyama,kama ulivyopewa ushahidi wa kimaandiko kutoka katika Qur'an.
Kwa sababu hakuna huyo nani. Kuna nini. Kuna process. Hakuna mtu/ being.

Kama unasema yupo, thibitisha.

Kuuliza nani ni sawa na kuuliza rangi ya wimbo wa taifa ni rangi gani?

Swali halina maana. Kwa sababu limeuliza kitu ambacho hakipo. Jibu lake haliwezi kuwa rangi fulani. Jibu lake ni kueleza swali limekosewa, wimbo hauna rangi.

Kama unabisha, thibitisha vinginevyo.

Thibitisha kuna "nani" na siyo "nini".

Thibitisha huyo Mungu wako yupo

Halafu utueleze huyo Mungu wako ameshindwa vipi kuwa efficient na kuhitaji 200 million sperm cells ku fertilize yai moja na mwanamke?

Huyo Mungu wako hajui hesabu? Zile sperm cells nyingine zote 200 million anazipeleka wapi? Wale watoto 200 million wengine (kwa kila anayezaliwa) ambao hawajazaliwa amewatendea haki?.
 
Mimi naona hizi mada za kuhusu Mungu na Miungu tungezipuuza tu mpaka pale waumini wake watakapojitambua/fahamu zao zitakaporudi
 
Kaka uko mbali sana na misingi ya kielimu. Kuna namna kadha wa kadha za kutoa ushahidi juu ya hilo ulilolidai,kuna ushahidi wa kiakili na kuna ushahidi wa kimaandiko (Ufunuo,sababu mimi ni muislamu huwa natumia Qur'an,sunnah na kauli za waja wema waliotangulia).

Mathalani kwa mulahiduun (Atheist),hoja za kiufunuo au maandiko matukufu huwa wanazikataa,huwa najaribu kutumia hoja za kiakili,sasa tatizo linakuja katika suala la kutumia akili,wakana mungu huwa wanafikiria kwa muelekeo mmoja daima dawamu na uelekeo huo ni HASI,kufikiri kwa mtindo huu ni kufikiri kitoto sana.Katika hili mifano iko mingi sana.

Watu hawa kwao wao wanaamini hisi na maada,kitu au jambo kama hulioni,hulishiki wala hulihisi kwao halipo na katu hawatokuelewa.

Maandiko kwetu sisi huwa ni thabati (Ukweli mtupu) na huwa ni njia madhubuti ya kuupata ukweli na ndio maana tumesisitizwa sana tutumie akili sana katika kuelewa maandiko kadhalika na kuzingatia.

Natamani hata walimu wao wangewafundisha namna ya kuzitumia akili zao,lakini maskini hata walimu wao hawakujua akili ni nini ? Mahala pa akili ni wapi,na uko wa akili ni wapi ?

Halafu mtu kama huyu anakuja kujitutumua kuhoji ? Laa ! Wallahi hawatoweza.

Nukta ya mwisho kaka nataka nikukumbushe kitu hasa mimi sishindani na mtu sababu najua ni maana ya kujadiliana na katika kujadiliana sio lazima tufike muafaka,muafaka ni matokeo tu wala si lengo. Hii kanuni chukua.
Mungu wako dhana ya kuwapo kwake ina contradiction.

Umeshindwa kuitatua contradiction hiyo.

Kwa sababu Mungu huyo hayupo.

Kama unabisha, tatua contradiction ya kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kaumbaulimwengu ambao mabaya yanawezekana, wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.

Hujajibu swali hili.

Hujatatua contradiction hii.
 
Back
Top Bottom