Hivi hakuna kabisa uwezekano wa kuzungumza kuhusu Mungu nje ya msamiati wa kiyahudi?

Hivi hakuna kabisa uwezekano wa kuzungumza kuhusu Mungu nje ya msamiati wa kiyahudi?

Ujue kila kitu kina mungu wake. Mimea,wanyama, wadudu nk. Labda miungu hiyo ikae pamoja na kumchagua bisi wa wote . Swala la binadamu huenda kila rangi ina mungu wake ndio maana IQ zinatofautiana. Na huenda kila mtu ana chanzo chake , basi heshimu hicho chanzo ndio ngao yako. Hizi dini ni kanyaga boya .
Wazo zuri sana
 
400644aa19e366557de56e4528fce626.jpg
07437801dcc3e5437b84c028e8beef4e.jpg
08959fe49d1b941432b93bf826522bb9.jpg
07437801dcc3e5437b84c028e8beef4e.jpg
08959fe49d1b941432b93bf826522bb9.jpg
[QUOT
08959fe49d1b941432b93bf826522bb9.jpg
E="Tz mbongo, post: 27605772, member: 278665"]Sasa nani aliyewahi kumuona Mungu hadi useme kama ni mweupe au mweusi? nyie mnachanganya hizo harakati zenu za watu weusi kwenye masuala ya kiimani.[/QUOTE]
Kumbe, ikaweje yesu akawa Mungu?
400644aa19e366557de56e4528fce626.jpg
 
Mfungwa wa kwanza ni mshika dini maana huyo amekubali kutotumia akili yake na kuruhusu watu wachache wafikirie na kuamua kwa niaba yake tena juu ya hatima ya maisha yake. Kukumbatia mafundisho usiyoyafahamu eti kisa umerithi kutoka kwa wazazi ni kukubali kujiwekea kikomo cha kufikiri na kuamua. Ili ujue ukweli wa hizi dini ni lazima kwanza utoke nje ya hiyo minyororo uwe huru kuyaangalia mambo kwa upana wake. Naamini katika Mungu Muumba na si katika Dini.
Asante " una akili nyingi sana
 
Kwanza kwa nini tumfate mungu Wa Israel wakati yeye atujui kabisaa Wa Israel awataki ata sikumoja kumsikia mtu mweusi wana tubagua vibaya mno hivi sis Wa Africa mbona atuyaoni wanao tufanyia awa watu. Papa mzungu kwa nini ajawai kuwa Mchina au muafrica.
hahahaa ...wa Africa tumerogwa mkuu"". papa mweusi amesha wahi kuwapo lakini " hilo linafichwa na vatcan ..hawataki watu wajue
 
Mimi siamini sana katika dini bali naamini katika MUNGU MMOJA TU MWENYE KUAMRISHA UPENDO, HAKI, WAJIBU NA HUKUMU. Ukiamini sana katika dini kunaleta utengano mkubwa sana maana waislam wanaabudu kivyao, wakristo kivyao na wayahudi kivyao lkn hizi dini tatu zina mzizi mmoja wa Ibarahim!!!

Ukiingia kwa wakristo nao wana madheheby chungu nzima, waislam pia sijui kwa wayahudi. Cha ajabu wao kwa wao utashangaa wanakufurishana mara huyu anakufuru mara yule anakufuru ili mradi kila mtu anataka kujitafutia wafuasi licha ya kuwa wote wana mzizi mmoja Ibrahim. Kwa mtu mwenye fikra huru ukisoma vitabu vyote vinavyotumiwa na dini hizo tatu utagundua Mwenyezi MUNGU hakuleta dini yoyote bali alileta mfumo wa maisha kwa ajili ya ustawi wa wanadamu duniani na baada ya mauti yao.
asante sana ..hahaha
 
Kuhamanika ni kuwa na wasiwasi mkubwa juu ya jambo au kitu fulani, kuhangaika, kuhaha, kupatwa na mshawasha kwa kuona jambo ambalo hukutarajia au likuvutialo sana moyoni, kuhaha kutokana na kuzingwa na kazi nyingi.

Neno lina mzizi wa kiarabu.

Maana hiyo ya juu imetolewa katika Kamusi Kuu ya Kiswahili. Baraza la Kiswahili la Taifa iliyochapwa na Longhorn chapa ya mwaka 2015. Ukurasa wa 280.

Unaweza kuhoji kwa kuuliza maswali yanayotafuta uthabiti wa kimantiki.

Kwa kujielimisha kwa njia ya uthabiti wa kimantiki nimepata kujua kwamba huyu Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote tuliyepewa kumuamini, hayupi, ana mikanganyiko ya kidhana ambayo inamfanya asiwezekane kuwepo.

Unaposema hatujui kesho yetu unamaanisha nini? Mbina watu wanapanga miadi ya kesho kama hawajui kesho? Mbina kuna utabiri wa hali ya hewa? Mbina watu wanatabiri kupatwa kwa jua kutakakotokea mamia ya miaka ijayo, siyo kesho tu?

Be specific in your questions please.
haha haha haha....Hivi uliniambiga kuwa yule lecture wako "" mlikuwa mnafanya debate mpaka akawa anakuogopa eeehh"".. Aisee aheshimiwe mzazi wa kiranga " kwakukuleta duniani "".. wewe Jamaa nikichwa mnooo""..
 
Watu hawaijui kesho kwa sababu ya entropy.

The second law of thermodynamics, in context, dictates that entropy tends to increase with time. In closed systems, with the passage of time, we are always moving from a lower entropy state to a higher entropy state.

A higher entropy state is more unpredictable.

Ni kama kuwa na computation ambayo ina trillions of possible different outcomes, halafu unaambiwa uchague moja ambayo itakuja kutokea.

Obviously complexity ya wingi wa outcomes itakufanya uone ugumu kujua litakalotokea.

Kwa hiyo, hatujui kesho kwa sababu ya entropy kuongezeka na muda kama ilivyoelezewa katika Second Law of Thermodynamics.

Kama ulitafuta jibu la Mungu, halipo.

In fact, kutokujua kesho kunaonesha Mungu hayupo kuliko kunavyoonesha Mungu yupo.

Kwa sababu, Mungu mwenye ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote, asingetujuza kama kuna kesho na hapo hapo kuwa mchoyo wa kutunyima kujua kesho.
haha haha ha....Naomba nikuamkie
 
Wapi umepata wazo hilo?

Kubahatisha ni nini? Kukubali kubahatisha kunakujaje?

Mtu anayeomba Mungu ili mvua inyeshe na anayetafuta chanzo cha mvua kuacha kunyesha katika mazingira ili akirekebishe, nani anabahatisha?
Aiseee.." ifike mahala uwe unaheshimu ufahamu wako basiii"" kubishana bishana na watu wenye level ndogo ya Ku changanua mambo " nikujishushia/kujivunjia heshima " mkuu
 
Nabishana na watu wanaosema upepo ni kiumbe chenye uhai!

Upepo ni kiumbe chenye uhai, wanasema.

Wanabushana kwa dhati kabisa.
halafu na wewe unaendelea kubishana nao ..huogopi kwamba ..watakuambukiza ujinga
 
Nabishana na watu wanaosema jiwe ni kiumbe chenye uhai!

Halafu hawataki kujibu swali langu linalouliza, uhai ni nini?
achana nao hao ...nimeshasikiliza sana mawaiza yao ..huwa wanasema jua linatokaga mashariki na kwenda magharibi "".. .so usishangae kusikia kwamba " jiwe na upepo vina uhai
 
Nimefuatilia comments za wote kwenye hii thread,kwa mara nyingine tena Kiranga anaibuka mshindi.

Nyie waabudu Mungu mmeshindwa kabisa kuthibitisha uwepo wa Mungu wenu mwenye uwezo wote,ujuzi wote na upendo wote.
yaani " mimi nawashangaa sana "" huwa wanahoja dhaifu sana" ambazo zinatufanya sisi " wafuatiliaji wa mjadala " tubaini kwamba " Humu jf huwa kuna members ambao ni vilaza..hata kuhoji hawajui " na wakihoji basi ni hoja dhaifu "".. na wanapopatiwa hoja pia wanashindwa kujibu ".. hata wanapojibu inakuwa ni majibu dhaifu dhidi ya hoja nzito....wanakera aisee""...

mtu anasema eti upepo una uhai "" eti kaambiwa na Allah " upepo " unazaa unakula " unajamiiana " .na kufanya vitendo vyote ambavyo kiumbe hai huwa anavifanya "" kama kusikia " kunusa etc ..hahaa
 
Back
Top Bottom