Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Upepo una uhai?tatizo lako unapinga vitu.lakini haujui Kama haujui.
Upepo una uhai.
Nimekuachia hizo aya mbili. Ya 7 na 8.
Kaa ujiulize.CHANZO CHA WEWE NI NINI
Uhai ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upepo una uhai?tatizo lako unapinga vitu.lakini haujui Kama haujui.
Upepo una uhai.
Nimekuachia hizo aya mbili. Ya 7 na 8.
Kaa ujiulize.CHANZO CHA WEWE NI NINI
HAUTAKI KUAMINI KUWA ASILI YA MTU NI UDONGO NA KISHA SHAHAWA.?Ujinga na uongo ambao hauwezi kuthibitishika na unajipinga wenyewe.
Jibu kwanza yale ya kwanza.kuhusu asili yako.Upepo una uhai?
Uhai ni nini?
First thing first. You write in all caps.HAUTAKI KUAMINI KUWA ASILI YA MTU NI UDONGO NA KISHA SHAHAWA.?
UONGO WA QURAN UPO WAPI.
HAYA NIAMBIE WEWE ASILI YAKO NI NINI?
Kaka punguza utoto aisee tunajadili mambo ya kielimu,na hii tabia imekuwa sugu sana kwako.Badilika ili ufungue milango yakuingia maarifa sahihi kwa maana ufahamu sahihi wa mambo.Kwa nini swali liwe "nani" ?
Nikikuuliza unitajie rangi ya wimbo wa taifa wa Tanzania, utaweza kunitajia?
Ohoooo.First thing first. You write in all caps.
In other words, you are a semi literate with nonsense of netiquette.
I can understand why we cannot understand each other.
TUAMBIE ASILI YAKO NI IPI ILI TUKUTOFAUTISHE NA SISI TUNAOAMINI TUMEUMBWA NA MUNGU.First thing first. You write in all caps.
In other words, you are a semi literate with nonsense of netiquette.
I can understand why we cannot understand each other.
Nimejibiwa swali kwa swali na mimi naendeleza utamadunibwa kujibubswali kwa swali.Kaka punguza utoto aisee tunajadili mambo ya kielimu,na hii tabia imekuwa sugu sana kwako.Badilika ili ufungue milango yakuingia maarifa sahihi kwa maana ufahamu sahihi wa mambo.
Jibu kwanza swali nililo kuuliza kisha nitakujibu juu ya rangi taifa.
Ningekuwa na uwezo ningewakataza watu kusoma Falsafa,hii elimu ni mtihani mkubwa waliopewa binadama wengi wa zama hizi,yaani falsafa huwafanya binadamu kuwa wajinga zaidi na kutokujua mipaka yao ya kutumia akili na kuhoji.
Kiongozi utakuwa una matatizo ya akili.Kwa nini swali liwe "nani" ?
Nikikuuliza unitajie rangi ya wimbo wa taifa wa Tanzania, utaweza kunitajia?
I dont engage extensively semi literates who write in all caps.TUAMBIE ASILI YAKO NI IPI ILI TUKUTOFAUTISHE NA SISI TUNAOAMINI TUMEUMBWA NA MUNGU.
WAKATI SISI NA WEWE TUKO SAWAAA.
Wapi umepata wazo hilo?
Kubahatisha ni nini? Kukubali kubahatisha kunakujaje?
Mtu anayeomba Mungu ili mvua inyeshe na anayetafuta chanzo cha mvua kuacha kunyesha katika mazingira ili akirekebishe, nani anabahatisha?
SOMA AYA YA 12 NA 13.I dont engage extensively semi literates who write in all caps.
Ujinga na uongo ambao hauwezi kuthibitishika na unajipinga wenyewe.
SOMA AYA YA 12 NA 13.
UNAPOPINGA VITU UWE NA USHAHIDI.
JIPANGE UPYA.
UKIMKATAA MUNGU HUO NI UBISHI WAKO.
MUNGU YUPO NA ATAKUWEPO DAIMA.
NA KWAKE UTARUDI NA UTAHUKUMIWA NA YEYE PEPO AU MOTO.
KAMA HAUJUI ASILI YAKO USIMPINGE MUNGU.
JIULIZE WEWE NI NANI NA UMETOKA WAPI.
KWA HERI NA
AHSANTE
HOJA HUNAAA. View attachment 810070
Aya zinasema ametengeneza vizuri umbo. Lakini mwili unapatwa na magonjwa, unakufa.Kaka aya hizo ziko wazi. Swali je umezielewa ?
Na wapi zinajipinga ?
Upepo una uhai?
Uhai ni nini?
Aya zinasema ametengeneza vizuri umbo. Lakini mwili unapatwa na magonjwa, unakufa.
Contradiction.
Mungu akishindwa kutengeneza vizuri umbo la mtu ili mtu asipate magonjwa wala kufa?
Hujathibitisha Mola yupo.Kwa maana nyepesi UPEPO ni kiumbe na unatii amri za Mola wake.
Mungu wako si mkamilifu? Kashindwa kuumba kiumbe kamilifu ambacho hakiugui wala kufa?Ulivyokuwa mchachefu wa maarifa unachanganya kati ya ukamilifu na umbile.
Ukamilifu kitu kando na umbile ni kitu kando.
Jibu maswali niliyokuuliza hapo kabla.
Hujathibitisha Mola yupo.
Unajibu swali ambalo sinauliza, swali ambalo nimeukiza hujajibu.
Sijaukiza kama upepo ninkiumbe. Nimeukiza kama upepo una uhai.
Badala ya kujibu kama upepo una uhai, unajibu kama upepo ni kiumne. Kwa nini?
Upepo una uhai?
Uhai ni nini?[/QUOTE
Una matatizo ya kujumuisha mawazo kupata kupata wazo moja thabiti au hoja thabiti.
Hukuuliza Upepo una Uhai wewe ? Sasa ndio nimeilia mkazo hoja ya yule uliyemuuliza Uhai ni nini ?
Ndio nimekwambia Upepo ni kiumbe bika shaka kina uhai.
Sasa uliza swali kutokana na hoja zangu au majibu yangu.