Hivi hakuna kabisa uwezekano wa kuzungumza kuhusu Mungu nje ya msamiati wa kiyahudi?

Hivi hakuna kabisa uwezekano wa kuzungumza kuhusu Mungu nje ya msamiati wa kiyahudi?

Watu hawaijui kesho kwa sababu ya entropy.

The second law of thermodynamics, in context, dictates that entropy tends to increase with time. In closed systems, with the passage of time, we are always moving from a lower entropy state to a higher entropy state.

A higher entropy state is more unpredictable.

Ni kama kuwa na computation ambayo ina trillions of possible different outcomes, halafu unaambiwa uchague moja ambayo itakuja kutokea.

Obviously complexity ya wingi wa outcomes itakufanya uone ugumu kujua litakalotokea.

Kwa hiyo, hatujui kesho kwa sababu ya entropy kuongezeka na muda kama ilivyoelezewa katika Second Law of Thermodynamics.

Kama ulitafuta jibu la Mungu, halipo.

In fact, kutokujua kesho kunaonesha Mungu hayupo kuliko kunavyoonesha Mungu yupo.

Kwa sababu, Mungu mwenye ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote, asingetujuza kama kuna kesho na hapo hapo kuwa mchoyo wa kutunyima kujua kesho.
Wewe haujitambui.
Ni Nani? Hata asili yako huijui.
kumpinga mungu kuwa hayupo.
Hakufanyi kuwa mungu hayupo.
Kwa sababu huna tofauti na sisi tunaoamini mungu yupo.
Umezaliwa kama sisi na utakufa kama sisi.
 
Wewe haujitambui.
Ni Nani? Hata asili yako huijui.
kumpinga mungu kuwa hayupo.
Hakufanyi kuwa mungu hayupo.
Kwa sababu huna tofauti na sisi tunaoamini mungu yupo.
Umezaliwa kama sisi na utakufa kama sisi.
Hujathibitisha Mungu yupo.

Thibitisha yupo.
 
Hujathibitisha Mungu yupo.

Thibitisha yupo.
Labda nikuulize.na sio kama nakutukana Havana.
Wakati baba yako alipo mwaga manii tumboni mwa mama yako.una dhani ni nani aliyebadilisha yale manii na kuwa kiumbe ambaye ni wewe
 
Labda nikuulize.na sio kama nakutukana Havana.
Wakati baba yako alipo mwaga manii tumboni mwa mama yako.una dhani ni nani aliyebadilisha yale manii na kuwa kiumbe ambaye ni wewe
Kaka hawezi kujibu swali hilo mpaka anakufa. Hata hao wakubwa wake alipokariri hizo fikra hawakuwahi kujibu maswali kama haya na hawato weza.
 
Watu hawaijui kesho kwa sababu ya entropy.

The second law of thermodynamics, in context, dictates that entropy tends to increase with time. In closed systems, with the passage of time, we are always moving from a lower entropy state to a higher entropy state.

A higher entropy state is more unpredictable.

Ni kama kuwa na computation ambayo ina trillions of possible different outcomes, halafu unaambiwa uchague moja ambayo itakuja kutokea.

Obviously complexity ya wingi wa outcomes itakufanya uone ugumu kujua litakalotokea.

Kwa hiyo, hatujui kesho kwa sababu ya entropy kuongezeka na muda kama ilivyoelezewa katika Second Law of Thermodynamics.

Kama ulitafuta jibu la Mungu, halipo.

In fact, kutokujua kesho kunaonesha Mungu hayupo kuliko kunavyoonesha Mungu yupo.

Kwa sababu, Mungu mwenye ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote, asingetujuza kama kuna kesho na hapo hapo kuwa mchoyo wa kutunyima kujua kesho.
Umenifurahisha sana. Unavyo zidi kukosea.

Nakuuliza swali tena kwanini hatuijui kesho yetu ?
 
In

Ina maana hata hujui msingi wa fikra na mitazamo yako imemili katika fani gani ? Au unataka kupotezea watu muda ?
Hujajibu maswali ya nani kataja falsafa na fasafa ni nini.

Na kama hujajibu maswali hayo, kama kuna mtu anayetka kupotezea watu muda, mtu huyo ni wewe.

Kwa sababu utakuwa unataka kujadili vitu ambavyo hutaki kuvi define.

Kitu ambacho ni zoezi katika ujinga usiotimizika.

Ni afadhali ya ujinga unaotimizika kuliko ujinga usiotimizika.
 
Uchunguzi uliojikita katika uthabiti wa kimantiki usiotetereshwa na mahamaniko ya kihisia yanayotokana na upotofu wa kifikra unaoogopa kuhoji kila kitu.

Hoji kila kitu. Hoji dini. Hoji historia. Hoji utamaduni. Hoji mpaka kuhoji kwako.
Good starting point
 
Kwa
Watu hawaijui kesho kwa sababu ya entropy.

The second law of thermodynamics, in context, dictates that entropy tends to increase with time. In closed systems, with the passage of time, we are always moving from a lower entropy state to a higher entropy state.

A higher entropy state is more unpredictable.

Ni kama kuwa na computation ambayo ina trillions of possible different outcomes, halafu unaambiwa uchague moja ambayo itakuja kutokea.

Obviously complexity ya wingi wa outcomes itakufanya uone ugumu kujua litakalotokea.

Kwa hiyo, hatujui kesho kwa sababu ya entropy kuongezeka na muda kama ilivyoelezewa katika Second Law of Thermodynamics.

Kama ulitafuta jibu la Mungu, halipo.

In fact, kutokujua kesho kunaonesha Mungu hayupo kuliko kunavyoonesha Mungu yupo.

Kwa sababu, Mungu mwenye ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote, asingetujuza kama kuna kesho na hapo hapo kuwa mchoyo wa kutunyima kujua kesho.

Kwahiyo kaka umekubali kuishi maisha ya kubahatisha ambayo umejitakia mwenyewe... ?
 
Labda nikuulize.na sio kama nakutukana Havana.
Wakati baba yako alipo mwaga manii tumboni mwa mama yako.una dhani ni nani aliyebadilisha yale manii na kuwa kiumbe ambaye ni wewe
Na mimi nikuulize.

Kwa nini swali liwe "nani" ?

Unaelewa habari ya manii inavyofanya mtoto inaonesha Mungu hayupo kuliko inavyoonesha Mungu yupo?
 
Kwa


Kwahiyo kaka umekubali kuishi maisha ya kubahatisha ambayo umejitakia mwenyewe... ?
Wapi umepata wazo hilo?

Kubahatisha ni nini? Kukubali kubahatisha kunakujaje?

Mtu anayeomba Mungu ili mvua inyeshe na anayetafuta chanzo cha mvua kuacha kunyesha katika mazingira ili akirekebishe, nani anabahatisha?
 
Kwa sababu.
Kitu KISICHO NA UHAI.HAKIWEZI KUFANYA '
'KITENDO'
hicho kitendo cha kugeuza manii kuwa kiumbe ni wazi anayefanya si jiwe.
Kitu kisicho uhai hakiwezi kufanya kitendo?

Upepo unapopeperusha karatasi, ni kwa sababu upepo una uhai?
 
Tupe ji
Na mimi nikuulize.

Kwa nini swali liwe "nani" ?

Unaelewa habari ya manii inavyofanya mtoto inaonesha Mungu hayupo kuliko inavyoonesha Mungu yupo?

Tupe jibu la nani kwanza kisha utueleze ni nini kinasababisha manii kugeuka kuwa damu,kisha pande la nyama,kisha mifupa kisha uhai (kwa maana kiumbe kinapata vipi uhai kikiwa tumboni ?
 
Na mimi nikuulize.

Kwa nini swali liwe "nani" ?

Unaelewa habari ya manii inavyofanya mtoto inaonesha Mungu hayupo kuliko inavyoonesha Mungu yupo?
Soma aya ya saba na ya 8.alafu uniambie umeelewa nini
Screenshot_20180715-174942.jpg
 
Tupe ji


Tupe jibu la nani kwanza kisha utueleze ni nini kinasababisha manii kugeuka kuwa damu,kisha pande la nyama,kisha mifupa kisha uhai (kwa maana kiumbe kinapata vipi uhai kikiwa tumboni ?
Kwa nini swali liwe "nani" ?

Nikikuuliza unitajie rangi ya wimbo wa taifa wa Tanzania, utaweza kunitajia?
 
Hujajibu maswali ya nani kataja falsafa na fasafa ni nini.

Na kama hujajibu maswali hayo, kama kuna mtu anayetka kupotezea watu muda, mtu huyo ni wewe.

Kwa sababu utakuwa unataka kujadili vitu ambavyo hutaki kuvi define.

Kitu ambacho ni zoezi katika ujinga usiotimizika.

Ni afadhali ya ujinga unaotimizika kuliko ujinga usiotimizika.
Sio mpaka nitaje tamko falsafa,ila mawazo yamejengeka kutokana na msingi wa falsafa.

Sasa kuhusu maana ya falsafa hiyo ni mada nyingine ila matokeo ya falsafa yapo katika mitazamo yako na fikra zako.
 
Kitu kisicho uhai hakiwezi kufanya kitendo?

Upepo unapopeperusha karatasi, ni kwa sababu upepo una uhai?
tatizo lako unapinga vitu.lakini haujui Kama haujui.
Upepo una uhai.
Nimekuachia hizo aya mbili. Ya 7 na 8.
Kaa ujiulize.CHANZO CHA WEWE NI NINI
 
Back
Top Bottom