sayansi hii ya mtume wako ilishakuwa debunked na kuwa proved kuwa mtoto hapiti hizo stage
mohamed bin abdullah got everything that was supposed to be wrong,wrong
basi q'uran ilidanganya na aliyeandika haya ni muongo au alikuwa hana elimu ya uzazi
sijui umeishia darasa la ngapi weweQur'an haiifati sayansi bali sayansi inifata sayansi. Qur'an inasema ukweli siku zote.
Sayansi lazima iseme yake bali ikosee sababu haina uwezo wa kuelezea hatua hizo tajwa hapo.
scientifically proved mtoto hawi formed kama mohamed alivyosemaUongo wake uko wapi ?
Jiwe na upepo vina uhai?Maneno yako yanaonyesha uwepo wa Allah sababu umemua kuukataa ukweli sababu wewe ni mtu huru.
Narudi kwenye suala ulilo uliza. Mbingu na ardhi na vyote vilivyomo ni viumbe kwanza sababu Allah ametueleza juu ya viumbe hivi na ni hai sababu vinaishi na vina mtii yeye.
Majini na watu wamepewa akili na uhuru na kuamua wayafanyayo ambayo yako ndani ya uwezo wao.
Uhai ni uzima uzima wa kimwili,imani na kiroho.
Mtu anakwambia jiwe na upepo vina uhai.scientifically proved mtoto hawi formed kama mohamed alivyosema
na sperm hazitoki kati ya mgongo na mbavu,zinatoka kwenye testicles
Quran inasema Allah kuna watu kawaziba macho wasimjue,kawafunga mioyo wasimjue, halafu atawahukumu kwa kutomjua.basi q'uran ilidanganya na aliyeandika haya ni muongo au alikuwa hana elimu ya uzazi
wanaoamini hekaya kama hizi naonaga wana uchizi flaniQuran inasema Allah kuna watu kawaziba macho wasimjue,kawafunga mioyo wasimjue, halafu atawahukumu kwa kutomjua.
Huyo Allah ni Mungu wa haki au hadithi ya uchizi?
Eti Mungu anakuzuia usimjue, halafu anakuhukumu kwa kuwa hujamjua!
Hizo unazoita testicle ni kama walet ya kuwekea pesa kwa matumizi ya haraka na utayariscientifically proved mtoto hawi formed kama mohamed alivyosema
na sperm hazitoki kati ya mgongo na mbavu,zinatoka kwenye testicles
Na wewe unaamini jiwe lina uhai?Hizo unazoita testicle ni kama walet ya kuwekea pesa kwa matumizi ya haraka na utayari
Lakini hazina kuu ipo nyumbani au bank ambayo ni uti wa mgongo
Hivyo usikatae
Kwani jiwe linatokana na nini.?Na wewe unaamini jiwe lina uhai?
Nakuuliza. Jiwe lina uhai? Sijauliza linakotoka jiwe kuna uhai.Kwani jiwe linatokana na nini.?
Kwani uhai ni nini?Nakuuliza. Jiwe lina uhai? Sijauliza linakotoka jiwe kuna uhai.
Jiwe lina uhai?
Naona unajiwekea mazingira ya kusema maiti ina uhai, kwa sababu imetoka kwenye mwili wenye uhai.
Jiwe lina uhai?
LifeKwani uhai ni nini?
hebu toa sayansi yako uchwara hapaHizo unazoita testicle ni kama walet ya kuwekea pesa kwa matumizi ya haraka na utayari
Lakini hazina kuu ipo nyumbani au bank ambayo ni uti wa mgongo
Hivyo usikatae
Iyo ya juu ijue wewehebu toa sayansi yako uchwara hapa
Ikiwa tunategemea mimea ili tuishiLife
Definition
noun, plural: lives
noun, plural: lives
(1) A distinctive characteristic of a living organism from dead organism or non-living thing, as specifically distinguished by the capacity to grow, metabolize, respond (to stimuli), adapt, and reproduce
Kiumbe hai kinapumua, kina mfumo wa kula na kutoa uchafu, kinajisogeza, kinakua, kina sensory receptors z8nazo reapond to stimuli, kinazaliana.
Jiwe na upepo havina sifa hizo.
Wewe nawe umo katika ujinga wa kuam8ni jiwe lina uhai?
Jiwe ni non living thing.
Jiwe lina uhai?
Nilisema hapo mwanzo kwamba unajitengenezea mazingira ya kusema maiti ina uhai, kwa sababu imetoka katika mwili wenye uhai.Ikiwa tunategemea mimea ili tuishi
Na mimea inategemea udongo.!
Na udongo unatokana na miamba.!
Na miamba ni kaka yake jiwe.!
Ugumu uko wapi.!?
Jifunze kuelewa mambo ya kirohoNilisema hapo mwanzo kwamba unajitengenezea mazingira ya kusema maiti ina uhai, kwa sababu imetoka katika mwili wenye uhai.
Na kwa jibu lako la juu hapo, unaweza kusema maiti ina uhai. Kwa sababu inaoza na kutoa virutubisho vinavyotumiwa na mimea yenye uhai.
Sijauliza kipi kinatoka wapi.
Nimeuliza, jiwe lina uhai?
Ukianza habari za "ikiwa kimetoka kule" utasema "Jesca Magufuli ni rais wa Tanzania"
Kwa sababu Jesca Magufuli katoka kwa John Magufuli, na John Magufuli ni rais wa Tanzania, hvyo basi Jesca Magufuli naye ni rais wa Tanzania.
Je, Jesca Magufuli ni rais wa Tanzania?
Jifunze kuelewa mambo ya kiroho
Utapata tabu mno dunia kwako itakua mzigo
Hili nalo linakuchangaya kweli..!
Kweli utafikia uwezo wa kujua mimi ndio wewe na wewe ndio mimi..!?
Tunao act through Total conscious and sub_consciousness level of reality in deferent place at once..[emoji41]
Ndio maana wazungu wanawakokota
Hii ndio siri msiyofahamu watu weusi Tii_utenganifu ni illusion not real