sayansi hii ya mtume wako ilishakuwa debunked na kuwa proved kuwa mtoto hapiti hizo stage
mohamed bin abdullah got everything that was supposed to be wrong,wrong
Qur'an haiifati sayansi bali sayansi inifata sayansi. Qur'an inasema ukweli siku zote.
Sayansi lazima iseme yake bali ikosee sababu haina uwezo wa kuelezea hatua hizo tajwa hapo.