Hivi hakuna kabisa uwezekano wa kuzungumza kuhusu Mungu nje ya msamiati wa kiyahudi?

Hivi hakuna kabisa uwezekano wa kuzungumza kuhusu Mungu nje ya msamiati wa kiyahudi?

Wewe huwezi, kugombana na mkeo, ukashtaki kwa IGP, AMA KUIBIWA TV YAKO Umtafute Rausu/Raisi wa nchi
vivyo hivyo, huwezi matatizo ya ndani ya nchi yako ukashtaki kwa trump, au maka kwa mtume, ama kule VATICAN KWA PAPA
It's called the chain of command, utamuudhi hata muajiri wako, na bila shaka
atakuadhibu...
hii ndio taswira halisi ya mtu mweusi, amelaaniwa na mizimu wake mwenyewe anaowapuuza...
kwani katika chain command ya uungu, mizimu ni ngazi mojawapo, sasa wewe si tu kuikana mizimu yako, bali miungu na Mungu wako
unakwenda kuomba kwa Miungu migeni
sadaka yako unawapa wageni
ulaaniwe wewe
na upigwe
na utumikishwe
tena utajiibia mwenyewe na kumpa mwizi
mpaka utakaporudi nyumbani kwako sababu
Mungu wa Bara la Africa anaitwa Amun-Ra
na jina la bara hili linaitwa KHEMER
AMA NCHI YA MWANGA AMA NCHI YA MIUNGU YAANI KHEMET
 
Screenshot_20180718-091949.png
 
Slavery of the black masses
In Hadith no.122, vol 2 and in vol 2 Hadith no. 141, when Muhammad raised his arms in prayer, it tells us that 'The WHITENESS of his armpits became visible". The Hadith vol 1, no. 367 tells us that Anas, one of Muhammad's trusted companions "saw the WHITENESS of the penis of Allah's prophet".My brother or sister if you converted to Islam because you were told by other Muslims that Muhammad was a "black" man, you have been led away from the truth and become a Muslim by lies and deception. The fact remains that Muhammad was not black as many have been told.Next Muhammad was a owner of "black" slavesIn Hadith no.436, vol 6, It says: when Umar came to visit Muhammad, he saw a "BLACK SLAVE OF ALLAH'S APOSTLE sitting on the first step" Ibn Qayyim alJawiyya, a great Muslim historian, wrote in his famous book Zad al-Ma'ad (part 1 pg 160): "Muhammad had many male and female slaves. He used to buy and sell them, but he purchased more than he sold, especially after God empowered him by his message, as well as after his immigration from Mecca. He once sold one black slave for two. His name was Jacob al-Mudbir".He also gives us the names of Muhammad black slaves on pgs 114-116, which were:Bilal, Abu Hurairah, Usamah Ebn Zaayed, and Rabbah were just a few of the black slaves of Muhammad.The most famous slave market in Muhammad's day was the slave market in Mecca. Many "blacks" (Hebrews) were stolen from African villages and were auction off like cattle in the same manner as they were in the America's. I must mention here that it was the Arab Muslims that introduce the white European Christians to capturing and selling's "blacks" (Hebrews) on the west coast of Africa, that's why there is similarity between the Arab enslavement of Hebrews ("blacks") in the so called Mid-East and the Christian enslavement of Hebrews ("Blacks") in the west).Muhammad also mistreated his 'Hebrew slaves". He also said "That if you dreamed of a "black" woman, this was an evil omen (Hadith no 9, vol,162,163). He also referred to black people as "raisin heads" (Hadith no.662, vol 1).Many believe that Arabs are still buying and selling black slaves today. In the Sudan, Muslims slave markets has been revived as blacks in chains from the Dinka Tribe are now being auctioned off to Muslim masters. In Arabic the common word for black is "Abd" which also means "slave".
 
Wewe huwezi, kugombana na mkeo, ukashtaki kwa IGP, AMA KUIBIWA TV YAKO Umtafute Rausu/Raisi wa nchi
vivyo hivyo, huwezi matatizo ya ndani ya nchi yako ukashtaki kwa trump, au maka kwa mtume, ama kule VATICAN KWA PAPA
It's called the chain of command, utamuudhi hata muajiri wako, na bila shaka
atakuadhibu...
hii ndio taswira halisi ya mtu mweusi, amelaaniwa na mizimu wake mwenyewe anaowapuuza...
kwani katika chain command ya uungu, mizimu ni ngazi mojawapo, sasa wewe si tu kuikana mizimu yako, bali miungu na Mungu wako
unakwenda kuomba kwa Miungu migeni
sadaka yako unawapa wageni
ulaaniwe wewe
na upigwe
na utumikishwe
tena utajiibia mwenyewe na kumpa mwizi
mpaka utakaporudi nyumbani kwako sababu
Mungu wa Bara la Africa anaitwa Amun-Ra
na jina la bara hili linaitwa KHEMER
AMA NCHI YA MWANGA AMA NCHI YA MIUNGU YAANI KHEMET
Huyo Mungu wa bara la afrika ameanza lini kuwa Mungu wa hili bara? maana jamii nyingi tofauti tofauti zimepita na kukaa kwenye hili bara kabla watu weusi kutawanyika kama hivi sasa.
 
Semina na maombezi kuvunja vifungo na laana na kuliponya bara la Africa, na nchi yako Tanzania , kukukutanisha na Mungu, miungu na mizimu yako itafanyika mwezi wa nane, those interested pm me or Binti Hemedi kwa ajili ya taratibu husika
Maombi kwa miungu yenu..! lakini yakitekelezwa kwa taratibu za kilokole.Mapya kweli
 
Huyo Mungu wa bara la afrika ameanza lini kuwa Mungu wa hili bara? maana jamii nyingi tofauti tofauti zimepita na kukaa kwenye hili bara kabla watu weusi kutawanyika kama hivi sasa.
swali zuri, kila ustaarabu ulifikia kilele, na kitovu cha ustaarabu wake....Amen -Ra ndio the most revered, and mightiest of black deities
 
Huyo Mungu wa bara la afrika ameanza lini kuwa Mungu wa hili bara? maana jamii nyingi tofauti tofauti zimepita na kukaa kwenye hili bara kabla watu weusi kutawanyika kama hivi sasa.
ancients in Tanzania, Sudan, ethiopia, Kerma, Egypt and mwenemutapa ndio blue print ya ibada yetu Asilia. Mahali patakatifu ni Olduvai gorge, ilipo chimbuliwa mifupa ya binadamu wa kale zaidi
 
ancients in Tanzania, Sudan, ethiopia, Kerma, Egypt and mwenemutapa ndio blue print ya ibada yetu Asilia. Mahali patakatifu ni Olduvai gorge, ilipo chimbuliwa mifupa ya binadamu wa kale zaidi
Sidhani kama umejibu swali kama nilivyouliza.
 
Maelfu ya miaka kabla ya ulokole, watu walikuwa wanafanya ibada hapa....

Hapa wapi.?

kama unadhani hiki ni kijiwe cha kahawa

Mimi naona kama cha mbeGe

wenzio tunafanya kazi ya ukombozi

Ni mpaka Tutake

Kujiona nyie ni wa kwanza kabla yao na mbadala wake ni kama dhana YAI au KUKU kusikiliza ni kupenda Tu
 
Back
Top Bottom