Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 13,332
- 7,351
Duh! ni freemason nini? maana wao ndiyo wana mambo ya siri siri.Ni mambo ya binafsi...kama mtu anahitaji kweli....na mahitaji yametofautana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! ni freemason nini? maana wao ndiyo wana mambo ya siri siri.Ni mambo ya binafsi...kama mtu anahitaji kweli....na mahitaji yametofautana
Endelea hivyo hivyo, wenzio wanafanyiwa maombezi, na vifungo kufunguliwa, na Africa inakombolewa tena, hakika ni saa ya ukombozi wetuDuh! ni freemason nini? maana wao ndiyo wana mambo ya siri siri.
Slavery of the black masses
Mwafanya biashara hiyo ya utumwa mpaka leo
Hata huko freemason watu huomba mambo yao na kufanikiwa.Endelea hivyo hivyo, wenzio wanafanyiwa maombezi, na vifungo kufunguliwa, na Africa inakombolewa tena, hakika ni saa ya ukombozi wetu
Huyo Mungu wa bara la afrika ameanza lini kuwa Mungu wa hili bara? maana jamii nyingi tofauti tofauti zimepita na kukaa kwenye hili bara kabla watu weusi kutawanyika kama hivi sasa.Wewe huwezi, kugombana na mkeo, ukashtaki kwa IGP, AMA KUIBIWA TV YAKO Umtafute Rausu/Raisi wa nchi
vivyo hivyo, huwezi matatizo ya ndani ya nchi yako ukashtaki kwa trump, au maka kwa mtume, ama kule VATICAN KWA PAPA
It's called the chain of command, utamuudhi hata muajiri wako, na bila shaka
atakuadhibu...
hii ndio taswira halisi ya mtu mweusi, amelaaniwa na mizimu wake mwenyewe anaowapuuza...
kwani katika chain command ya uungu, mizimu ni ngazi mojawapo, sasa wewe si tu kuikana mizimu yako, bali miungu na Mungu wako
unakwenda kuomba kwa Miungu migeni
sadaka yako unawapa wageni
ulaaniwe wewe
na upigwe
na utumikishwe
tena utajiibia mwenyewe na kumpa mwizi
mpaka utakaporudi nyumbani kwako sababu
Mungu wa Bara la Africa anaitwa Amun-Ra
na jina la bara hili linaitwa KHEMER
AMA NCHI YA MWANGA AMA NCHI YA MIUNGU YAANI KHEMET
Maombi kwa miungu yenu..! lakini yakitekelezwa kwa taratibu za kilokole.Mapya kweliSemina na maombezi kuvunja vifungo na laana na kuliponya bara la Africa, na nchi yako Tanzania , kukukutanisha na Mungu, miungu na mizimu yako itafanyika mwezi wa nane, those interested pm me or Binti Hemedi kwa ajili ya taratibu husika
utaratibu wetu, we huujui , lokole ndio kitu gani????sisi ndio mzizi, nyinyi mmetuiga sisi, historia na sayansi ni shahidiMaombi kwa miungu yenu..! lakini yakitekelezwa kwa taratibu za kilokole.Mapya kweli
swali zuri, kila ustaarabu ulifikia kilele, na kitovu cha ustaarabu wake....Amen -Ra ndio the most revered, and mightiest of black deitiesHuyo Mungu wa bara la afrika ameanza lini kuwa Mungu wa hili bara? maana jamii nyingi tofauti tofauti zimepita na kukaa kwenye hili bara kabla watu weusi kutawanyika kama hivi sasa.
Maelfu ya miaka kabla ya ulokole, watu walikuwa wanafanya ibada hapa....kama unadhani hiki ni kijiwe cha kahawa,wenzio tunafanya kazi ya ukomboziMaombi kwa miungu yenu..! lakini yakitekelezwa kwa taratibu za kilokole.Mapya kweli
Na hiyo kweli itawaweka huruHata huko freemason watu huomba mambo yao na kufanikiwa.
ancients in Tanzania, Sudan, ethiopia, Kerma, Egypt and mwenemutapa ndio blue print ya ibada yetu Asilia. Mahali patakatifu ni Olduvai gorge, ilipo chimbuliwa mifupa ya binadamu wa kale zaidiHuyo Mungu wa bara la afrika ameanza lini kuwa Mungu wa hili bara? maana jamii nyingi tofauti tofauti zimepita na kukaa kwenye hili bara kabla watu weusi kutawanyika kama hivi sasa.
Sidhani kama umejibu swali kama nilivyouliza.ancients in Tanzania, Sudan, ethiopia, Kerma, Egypt and mwenemutapa ndio blue print ya ibada yetu Asilia. Mahali patakatifu ni Olduvai gorge, ilipo chimbuliwa mifupa ya binadamu wa kale zaidi
Maelfu ya miaka kabla ya ulokole, watu walikuwa wanafanya ibada hapa....
kama unadhani hiki ni kijiwe cha kahawa
wenzio tunafanya kazi ya ukombozi