Principal Focus
JF-Expert Member
- Jan 4, 2013
- 925
- 550
We mgeni lakini unamfaham Jose kwa kuwahi kwake? Basi ye noma japo siku hizi amepunguza kuwah sit za mbeleSiamin kama nimemuwahi kaka Jose...
Waje watunyapie za Soudy Brown bhanaUnamshiladia shilawadu.. ngoja waje
HahaKabla hamjanyapia kesha nyapia mchongo wenu wa kumnyapia
Labda ndugu yake mange kimambi ndio anajua kunyapia zaidi.. HahahaYule jamaa bhana..... yupo makini sana na scandal..... Ni vingumu sana kumnasa kabla hujamnasa yeye amesha kunasa.....
kanipigia simu now kaniambia ukiona sipatikani jua nimezima simu mana JF wananinyapiaKabla hamjanyapia kesha nyapia mchongo wenu wa kumnyapia
kanipigia simu now kaniambia ukiona sipatikani jua nimezima simu mana JF wananinyapia
Hahah we kweli misstrace yan ulivyomtrace dah! Inasemekana lakini kwa sauti ya soudy brownWanasemaga ni mdogo wake GK sijui lakini
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]kanipigia simu now kaniambia ukiona sipatikani jua nimezima simu mana JF wananinyapia
Nawaona nawaonaHuyu hapa
HahahahaNawaona nawaona
Tunamnyapia nyapiaHaaaaahahaaaaa uwiiiiiii