Hivi hakunaga mipaka eeeh?

Hivi hakunaga mipaka eeeh?

Wapo mmoja mmoja sista, endelea tu kumuomba Mungu atakupa unayemtaka, ila ndo hivyo uwe tayari kusacrifice zile sifa zingine mzipendazo sana kwa ujumla wenu, loh! Coz hakuna aliyepewa vyote na Mwenyezi Mungu

Sifa pesa tu mengine yatajijua yenyewe.
 
Hahaha Imebidi nicheke wallah. Yani kama short chasis kawashinda hadi warefu kwa vigezo, unadhani namuacha sasa? Awe tu anajiamini maana watu wafupi nao hawajambo

Khaaaaah short chasis tena!! Ila akiwa na pesa anakuwa super tall
 
Nataka kuzaa na wewe.
Nina bomba la kutolea mbegu, haziishi....
Lakini damu yangu inaenda upareni....
...Haya kazi kwako tulitafute lihendisamu/libiutifuli letu...chanua!!
 
Basi ongea vizuri na andunje RRONDO maana alikuwa analalamika yeye short chasis sijui. Sema hela anayo, afu tena ana mgutambi hugoo. Mfanye ajisikie hasheem thabit teh

Yaani RRONDO hataaa asijali mbona mie namuona six packs zimejipanga zile, na alivyo mrefu sasa, wanaomwambia yeye mfupi wanamuonea wivu tu.
 
Last edited by a moderator:
Nina bomba la kutolea mbegu, haziishi....
Lakini damu yangu inaenda upareni....
...Haya kazi kwako tulitafute lihendisamu/libiutifuli letu...chanua!!

Yaani siku hizi unanipofua macho hata sikuelewi, yaani tokea mtafaruku wa vitambi utokee yaani daaah!!!

Sasa iende upareni kufanya nini? Na ole wako kawe kafupi utanitambua nakuambia.
 
Yaani RRONDO hataaa asijali mbona mie namuona six packs zimejipanga zile, na alivyo mrefu sasa, wanaomwambia yeye mfupi wanamuonea wivu tu.

Hahaha basi sawa, kula mihogo kwema teh
 
Last edited by a moderator:
Yaani siku hizi unanipofua macho hata sikuelewi, yaani tokea mtafaruku wa vitambi utokee yaani daaah!!!

Sasa iende upareni kufanya nini? Na ole wako kawe kafupi utanitambua nakuambia.
Nakupofua macho kiaje? Au kwa vile nimekubania dyudyu.? Kwa ufupi gani haswa, hapa ni 1.8cm wewe.....hata kwa mura hawaingii humu..!!
 
Nimekumiss ujue!
Ahaa..sasa nimeelewa, usizunguke mbuyu..leta haluwa hiyo mae...!
Umekuwa mnyimi sana lately, hata sis darling wangu ameniambia tukiwa mkesha jana..
 
Ahaa..sasa nimeelewa, usizunguke mbuyu..leta haluwa hiyo mae...!
Umekuwa mnyimi sana lately, hata sis darling wangu ameniambia tukiwa mkesha jana..

Hahahaaaaa!! Uzee nao unachangia
 
Back
Top Bottom