Hivi Halima Mdee, Esta na wenzake walitarajia kuwa siku moja wanaweza kuwa wahanga na mamluki kutoka CHADEMA

Hivi Halima Mdee, Esta na wenzake walitarajia kuwa siku moja wanaweza kuwa wahanga na mamluki kutoka CHADEMA

mtoto wa mchungaji

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2020
Posts
279
Reaction score
480
Siasa ni ya ajabu sana wakati hili linashangaza watu wengi, yaani ukikumbuka nyuma ni ngumu kuitaja Chadema bila kumtaja Mdee lakini leo ni mamluki.
Chakushangaza zaidi kesho utasikia wako tena pamoja na wanatwambia hakuna adui wala rafiki wa kudumu ndani ya siasa.

Hata hivyo ninakaswali ka uzushi nachomekea tu, hivi jamani kwa mfano katika uchaguzi uliopita wangeshinda Mboe, Lema na Sugu pekeyao, mnadhani hawa majamaa wange susia bungeni? Yaani kuacha milioni 12 kilamwezi?
 
Kim
Siasa ni ya ajabu sana wakati hili linashangaza watu wengi, yaani ukikumbuka nyuma ni ngumu kuitaja Chadema bila kumtaja Mdee lakini leo ni mamluki.
Chakushangaza zaidi kesho utasikia wako tena pamoja na wanatwambia hakuna adui wala rafiki wa kudumu ndani ya siasa.

Hata hivyo ninakaswali ka uzushi nachomekea tu, hivi jamani kwa mfano katika uchaguzi uliopita wangeshinda Mboe, Lema na Sugu pekeyao, mnadhani hawa majamaa wange susia bungeni? Yaani kuacha milioni 12 kilamwezi?
Kinacho sababisha ni njaa,na Tamaa binafsi kwa aliyejipanga,na anayeamini mile anachotetea asinge fanya hilo.
 
Ukitegemea siasa kama ajira matokeo yake ndio hayo ya kina mzee mdee!! Mbowe kafilisiwa lakini hakuunga mkono juhudi mkuu....Miaka mi3 hakupokea mshahara lakini alisurvive.....Kuwakataa kina mdee na wenzake 18 means hataki rudhuku ambazo hazipo kihaki....Hao uliowataja ni makonki hawawezi kurubunika kwa vipande 300 vya fedha ,hata shetani alitumtumia hawa ,mzee mdee na wenzake ni washirika wa shetani.
 
Siasa ni Game daima cheza Karata zako vizuri

Hao wadada waacheni wako kwenye mafunzo ila watakomaa.
 
Hata hivyo ninakaswali ka uzushi nachomekea tu, hivi jamani kwa mfano katika uchaguzi uliopita wangeshinda Mboe, Lema na Sugu pekeyao, mnadhani hawa majamaa wange susia bungeni? Yaani kuacha milioni 12 kilamwezi?
Sasa kama wameshinda kihalali, kama unavyosema kwa nini wasusie?

Si hao waliowachagua wangewashangaa sana?
Hapo wangepeleka mapambano halisi bungeni.
 
Chakushangaza zaidi kesho utasikia wako tena pamoja na wanatwambia hakuna adui wala rafiki wa kudumu ndani ya siasa.
Wanachoweza kufanya hao akina mama ni kuingia ACT-Wazalendo.

Kurudi tena CHADEMA huo utakuwa kama ni muujiza, na ikitokea hivyo, huo ndio utakaokuwa mwisho wa CHADEMA kama tunavyoifahamu.
 
Halima anasema eti alitekwa na mamlaka za juu. 🤣🤣🤣🤣🤣
Waombe watanzania radhi tu mkuu. Ukimiya wao kwa kweli walijua wamekosea. Ila pigo walilolipata linatosha. Na limekuwa fundisho. Naona wasihame chama wavumiliye yatapita.
Hawajaleta malumbano Wala kukejeli chama.
 
Siasa ni ya ajabu sana wakati hili linashangaza watu wengi, yaani ukikumbuka nyuma ni ngumu kuitaja Chadema bila kumtaja Mdee lakini leo ni mamluki.
Chakushangaza zaidi kesho utasikia wako tena pamoja na wanatwambia hakuna adui wala rafiki wa kudumu ndani ya siasa.

Hata hivyo ninakaswali ka uzushi nachomekea tu, hivi jamani kwa mfano katika uchaguzi uliopita wangeshinda Mboe, Lema na Sugu pekeyao, mnadhani hawa majamaa wange susia bungeni? Yaani kuacha milioni 12 kilamwezi?
Covid-19 wataondoka lakini CDM itadumu milele. Magu amekufa na kuiacha CDM ikimea. Mjifunze kwa hayo ndugu zanguni.
 
Siasa ni ya ajabu sana wakati hili linashangaza watu wengi, yaani ukikumbuka nyuma ni ngumu kuitaja Chadema bila kumtaja Mdee lakini leo ni mamluki.
Chakushangaza zaidi kesho utasikia wako tena pamoja na wanatwambia hakuna adui wala rafiki wa kudumu ndani ya siasa.

Hata hivyo ninakaswali ka uzushi nachomekea tu, hivi jamani kwa mfano katika uchaguzi uliopita wangeshinda Mboe, Lema na Sugu pekeyao, mnadhani hawa majamaa wange susia bungeni? Yaani kuacha milioni 12 kilamwezi?
Nilichogundua hao wanawake wanaoneana wivu tu kwa nafasi hizo waliopo nje nao wanazitamani asikwaambie mtu unauzaje kukataa nafasi Kama hizo kipindi hiki kilkchokuwa na ajira

Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
 
Ukitegemea siasa kama ajira matokeo yake ndio hayo ya kina mzee mdee!! Mbowe kafilisiwa lakini hakuunga mkono juhudi mkuu....Miaka mi3 hakupokea mshahara lakini alisurvive.....Kuwakataa kina mdee na wenzake 18 means hataki rudhuku ambazo hazipo kihaki....Hao uliowataja ni makonki hawawezi kurubunika kwa vipande 300 vya fedha ,hata shetani alitumtumia hawa ,mzee mdee na wenzake ni washirika wa shetani.
Mbona Ruzuku alikuwa kila ikiingia anakata 50m , kuwa ni deni la chama alilokopesha chama ,wajinga ndo waliwao

Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom