Hivi hamjaunganisha dots tu kwamba Israel ndiyo walimuua rais wa Iran Ibrahim Rais kwa kuangusha helkopter?

Hivi hamjaunganisha dots tu kwamba Israel ndiyo walimuua rais wa Iran Ibrahim Rais kwa kuangusha helkopter?

Biblia inasema wokovu unatoka kwa wayahudi na kwa kiasi wameanguka ili sisi tupone so Mungu hajasahau watu wake aliowaita kwa jina lake. Mungu wa Ibrahim wa Isaka na wa Yakobo hilo ndilo jina lake milele.

Ibrahim, Isaka na Yakobo ni mizimu ya wayahudi, wana tofauti gani ya mizimu ya mwanakalundi, Mangungo, Kinjekitile, Mkapa, Nyerere na wa babu yako?
 
Ibrahim, Isaka na Yakobo ni mizimu ya wayahudi, wana tofauti gani ya mizimu ya mwanakalundi, Mangungo, Kinjekitile, Mkapa, Nyerere na wa babu yako?
Sasa mizimu ya rangi ya poumbou manigger kazi kurogana tu na kunya porini.

Sasa hivi ni mzuka wa Mungu Yesu na Imam Hussein kipenzi chetu cha dhati Allah ampe qauli thabeet.
 
Ibrahim, Isaka na Yakobo ni mizimu ya wayahudi, wana tofauti gani ya mizimu ya mwanakalundi, Mangungo, Kinjekitile, Mkapa, Nyerere na wa babu yako?
Hawana tofauti ila pia uzur ni wewe tu unajichagulia katika siku zako hapa dunian ni mzimu upi ungependelea hadithi zake
 
Waisrael hawashindwi kitu wakiamua. Kama wameweza kumuulia kamanda wa hamas hukohulo iran itashindikana vipi kusema kwamba wao ndo waliangusha helkopter kwa technologia kubwa waliyonayo.

Jamani iran hamna secirity yaani security ni zero. Wasije wakawage war na Islael watapigwa kama mtoto.
Wao itakuwa ndo walitengeneza ukungu?
 
Back
Top Bottom