Hivi hao mabikra 72 tulioahidiwa nitakuwa nao kwa lazima au kwa hiari yangu mwenyewe? Kama ni kwa hiari Itakuwaaje nikiwakataa?

Hivi hao mabikra 72 tulioahidiwa nitakuwa nao kwa lazima au kwa hiari yangu mwenyewe? Kama ni kwa hiari Itakuwaaje nikiwakataa?

Nyaka-One

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2013
Posts
4,730
Reaction score
6,736
Hivi muda huo utakapowadia hao mabikra 72 tulioahidiwa nitakuwa nao kwa utashi wangu au kwa lazima? Kama ni kwa utashi wangu ikitokea mimi sihitaji bikra yoyote au nahitaji mmoja tu miongoni mwa hao 72 niliokabidhiwa, hao wengine watakaobaki watakabidhiwa kwa nani kwa kuzingatia kuwa tayari kila mwanaume alishaandaliwa idadi yake kamili ya kumtosha? Au watakaobaki watakabidhiwa kwa wapenda ngono zaidi?

Na kama kila mwanaume atakaekwenda mbinguni atapewa mabikra 72 kumaanisha kuwa kuwa kila mwanamke hatakosa mwanaume kwa kuchangia mwanamme mmoja na wake wenza 71 ni sahihi kusema kuwa uwiano wa wanaume na wanawake watakaokwenda mbinguni ni 1:72?

Yaani kama wakiingia wanaume 1,000,0000 wanawake watakuwa 72,000,000 na kufanya jumla yao wote kuwa 73,000,000.

Na kwa vile kwa mahesabu hayo inaonyesha watakaoingia wengi zaidi mbinguni ni wanawake kuliko wanaume ni nini hasa zinaweza kuwa sababu za wanawake ndiyo wawe wametenda mema katika hii dunia na hatimaye kuwawezesha kuingia mbinguni kwa idadi kubwa zaidi ya sisi wanaume?

Naomba ilimu.
 
Hivi muda huo utakapowadia hao mabikra 72 tulioahidiwa nitakuwa nao kwa utashi wangu au kwa lazima? Kama ni kwa utashi wangu ikitokea mimi sihitaji bikra yoyote au nahitaji mmoja tu miongoni mwa hao 72 niliokabidhiwa, hao wengine watakaobaki watakabidhiwa kwa nani kwa kuzingatia kuwa tayari kila mwanaume alishaandaliwa idadi yake kamili ya kumtosha? Au watakaobaki watakabidhiwa kwa wapenda ngono zaidi?

Na kama kila mwanaume atakaekwenda mbinguni atapewa mabikra 72 kumaanisha kuwa kuwa kila mwanamke hatakosa mwanaume kwa kuchangia mwanamme mmoja na wake wenza 71 ni sahihi kusema kuwa uwiano wa wanaume na wanawake watakaokwenda mbinguni ni 1:72?

Yaani kama wakiingia wanaume 1,000,0000 wanawake watakuwa 72,000,000 na kufanya jumla yao wote kuwa 73,000,000.

Na kwa vile kwa mahesabu hayo inaonyesha watakaoingia wengi zaidi mbinguni ni wanawake kuliko wanaume ni nini hasa zinaweza kuwa sababu za wanawake ndiyo wawe wametenda mema katika hii dunia na hatimaye kuwawezesha kuingia mbinguni kwa idadi kubwa zaidi ya sisi wanaume?

Naomba ilimu.
Uwakatae wakati ushakunywa juisi ya tende?
 
Hivi muda huo utakapowadia hao mabikra 72 tulioahidiwa nitakuwa nao kwa utashi wangu au kwa lazima? Kama ni kwa utashi wangu ikitokea mimi sihitaji bikra yoyote au nahitaji mmoja tu miongoni mwa hao 72 niliokabidhiwa, hao wengine watakaobaki watakabidhiwa kwa nani kwa kuzingatia kuwa tayari kila mwanaume alishaandaliwa idadi yake kamili ya kumtosha? Au watakaobaki watakabidhiwa kwa wapenda ngono zaidi?

Na kama kila mwanaume atakaekwenda mbinguni atapewa mabikra 72 kumaanisha kuwa kuwa kila mwanamke hatakosa mwanaume kwa kuchangia mwanamme mmoja na wake wenza 71 ni sahihi kusema kuwa uwiano wa wanaume na wanawake watakaokwenda mbinguni ni 1:72?

Yaani kama wakiingia wanaume 1,000,0000 wanawake watakuwa 72,000,000 na kufanya jumla yao wote kuwa 73,000,000.

Na kwa vile kwa mahesabu hayo inaonyesha watakaoingia wengi zaidi mbinguni ni wanawake kuliko wanaume ni nini hasa zinaweza kuwa sababu za wanawake ndiyo wawe wametenda mema katika hii dunia na hatimaye kuwawezesha kuingia mbinguni kwa idadi kubwa zaidi ya sisi wanaume?

Naomba ilimu.
Yaani katika dini iliyokuja na uongo ukiopitiliza. ni hii ya Mwarabu. Yeye anawaza ngono tuu, ndio maana kapitisha kuoa wanawake 4, kapitisha kuoa vitoto vidogo kuanzia miaka 13, kapitisha kuoa ndugu wa damu, waarabu na waliodanganywa kufuata Mila za kiarabu wanaona ndugu, mtoto wa baba mkubwa, wa shangazi mjomba twende kazi ndio maana kwenye nyumba za kiarabu na kihindi wapo watoto mazezeta kwa ajili ya sababu za ki genetics za kuoana ndugu. Hivi kwa utukufu wa Mungu awe anashuhudia mijitu na midevu Yao inafanya uasherati kwenye bustani zake takatifu?
 
Hivi muda huo utakapowadia hao mabikra 72 tulioahidiwa nitakuwa nao kwa utashi wangu au kwa lazima? Kama ni kwa utashi wangu ikitokea mimi sihitaji bikra yoyote au nahitaji mmoja tu miongoni mwa hao 72 niliokabidhiwa, hao wengine watakaobaki watakabidhiwa kwa nani kwa kuzingatia kuwa tayari kila mwanaume alishaandaliwa idadi yake kamili ya kumtosha? Au watakaobaki watakabidhiwa kwa wapenda ngono zaidi?

Na kama kila mwanaume atakaekwenda mbinguni atapewa mabikra 72 kumaanisha kuwa kuwa kila mwanamke hatakosa mwanaume kwa kuchangia mwanamme mmoja na wake wenza 71 ni sahihi kusema kuwa uwiano wa wanaume na wanawake watakaokwenda mbinguni ni 1:72?

Yaani kama wakiingia wanaume 1,000,0000 wanawake watakuwa 72,000,000 na kufanya jumla yao wote kuwa 73,000,000.

Na kwa vile kwa mahesabu hayo inaonyesha watakaoingia wengi zaidi mbinguni ni wanawake kuliko wanaume ni nini hasa zinaweza kuwa sababu za wanawake ndiyo wawe wametenda mema katika hii dunia na hatimaye kuwawezesha kuingia mbinguni kwa idadi kubwa zaidi ya sisi wanaume?

Naomba ilimu.
Yesu akawaambia, “Watu wa nyakati hizi huoa na kuolewa;

35 lakini wale ambao Mungu atawawezesha kushiriki ule wakati wa ufufuo, hawataoa wala kuolewa.

36 Ama hakika, hawawezi kufa tena, kwa sababu watakuwa kama malaika, na ni watoto wa Mungu kwa vile wamefufuliwa katika wafu.

37 Lakini, kwamba kuna kufufuka kutoka kwa wafu, hata Mose alithibitisha jambo hilo katika Maandiko Matakatifu. Katika sehemu ya Maandiko Matakatifu juu ya kile kichaka kilichokuwa kinawaka moto, anamtaja Bwana kama Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo.

38 Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa wale walio hai; maana kwake wote wanaishi.”
 
Back
Top Bottom