Hivi hapa Dar kuna sehemu inatoa starehe kama hizi?

Mambo ya babu wa playboy hayo..zipo kwa wenzetu huko wenye uhakika na afya zao.....

Huku ukifanya hvyo na mi ukimwi hii gono kaswende kisonono. UTI

Unawatafuta watu ubaya..

Na utawalipa nn watu?watu wako busy kutafta pesa..

Chungulia malipo wanayolipwa wale wadada na wakaka wa playboy mansion kwa siku kwa tukio 1 halaf jiulize..utaweza lipa hzo fedha

Wale kwa mwezi wanalipwa si chini ya 20m za kibongo..ohoooo

Sasa huyo si ni CEO wa bank kubwa kabisa.hahahah..

Utaweza
 
wewe utasababisha Erasmus Mundus wasitoe tena scholarship kwa wabongo hahahah!
 
wewe utasababisha Erasmus Mundus wasitoe tena scholarship kwa wabongo hahahah!
 
wewe utasababisha Erasmus Mundus wasitoe tena scholarship kwa wabongo hahahah!
Ile ni exposure nje ila pia ilikuwa moja ya business concepts darasani, we had a session on casino businesses na hio ikawemo mi naikafanya kwa practical, ni memory tamu, ilikuwa project watukutu wa mpito tukaenzi kipindi cha class
 
Nenda Mombasani Florida club mtaa wa Mama Ngina.
Iko beach lango la bandari. Pesa yako tu.
Kuna vibanda eti vya kufanyia massage.
Isitoshe kule hakuna anayekujua wewe.
Miaka michache nyuma kulikua na Casablanca along Moi avenue. Ilikua na chumba underground kwa kiingilio maalum .Hapo ndio nilipoona wanawake wakicheza uchi wa mnyama huku watalii au mafisi wakiwafaidi. Hii klab kwa Sasa haipo iliungua na mmiliki alishakufa.
Watu wengi sana walichuma dhambi pale.
 
Hakuna binadamu amewahi kula bata na kugegeda mademu aliowataka kama mfalme Suleiman, lakini yote hayo anasema ni ubatili mtupu, ni heri kumcha Mungu.....
 
Mkuu ulikuwa unapita hii Mitaa ya Moi Avenue...Casablanca........??? Inabidi tutafutane Mkuu...ukiwa kipande hii...
 
Hizi scholarship za Erasmus Mundus hizi..kuna dogo nafahamu alipata hii kwa nchi za Ufaransa na Ujerumani...kufika Ujerumani yeye akaanza kwenda Red Street...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…