umeniwahi!!!!!!!!!!
na nilihisi tuuuu!!! ila utakufaa ukijumbe!!!!
Copy: Ben Saanane , Chimbuvu, Chilli, Ruttashobolwa, tedo, Arushaone, Chibolo
, kiplagati26 na Mlachake
Mtoto kaongeza line nyingine.
Michango ya kwanza mwanipa mimi.
Nhe!
Yamekuwa hayo!
Eeeehhh???......!
Mamndenyi umepitia chuo cha Karate mpaka unataka ukijumbe?
Una pensi nyanya za kutosha kabatini kwako?
Au una viungo vya spea?
Ukijumbe si mchezo.
Ukifanya mchezo,unaweza uhame mji.
Kweli ukipenda chongo utaita Kengeza, hao wengine wote wanaommega huwaoni ila unataka kuniandama mimi nisiye na wazo..
Mpenzi wangu,
Ni line ya simu na si kingine.
Si unajua mie niko na wewe tu.
nakumbuka mama abuduli wa mchezo wa itv
miaka hiyo kabla haujazaliwa alipata heka heka
ya kutosha kutokana na kuwa kijumbe
dah, naona nikuachie tu mimi nitakuwa memba
wa kawaida tu, tena heka heka siziwezi kabisa.
umefumwa kitakula kwako leo.
Mpenzi wangu,
Ni line ya simu na si kingine.
Si unajua mie niko na wewe tu.
Okay,take care of yourself hun! leo natoka ofisini mapema nitakupitia luv
Poa Huz, Don worry, ni wewe tu.
Nakusubiri swit ila uje na Ice Cream hyo badae.
Najua unapenda Vanilla swits.Nitakuletea.....Nitapita pale Matrimonial Buzz Plazza
Yeah!
Pale wako makini sana switii.
Ndo mana nakupenda.
Mwaaah!!!
Mida Huz wangu.
Mmwwahh mmwwaaaah!