Hivi hawa Bongo Movie wanatuonaje?

Hivi hawa Bongo Movie wanatuonaje?

Bongo movie part 1: Matangazo dk 10 Kutembea dk 20, kulia dk 15, kukumbuka tukio la zamani dk 30, watch out part 2.
Kikubwa tu mnisubiri nimalizie degree yangu ya movie production na directing nije nitengeneze movie za maana! hawa wanaigiza utumbo!

At least movie zinazorushwa star swahili (68%), hizo nyingine ni takataka!!
 
Ukitaka kuinjoi bongo movies usiangalie details wewe furahia story inavyoenda.
Kama hapo ungeangalia tu mama mjamzito aliipigwa risasi mwisho wa siku akapelekwa hospitali inatosha, tena ukiandikiwa Watch out part two

Unakaa na hamu ya kujua kama alifariki au la
Mi huwa najiuliza mbona mtu kama irene uwoya hajawahi kuigiza mtu masikini wa kijijini? Wao kupewa position za kimjini mambo safi.
Ni kama vile unapewa position kulingana na maisha halisi unayoishi. Sijawahi muona muhogo mchungu boss wa ofisini.
 
Mi huwa najiuliza mbona mtu kama irene uwoya hajawahi kuigiza mtu masikini wa kijijini? Wao kupewa position za kimjini mambo safi.
Ni kama vile unapewa position kulingana na maisha halisi unayoishi. Sijawahi muona muhogo mchungu boss wa ofisini.

Nafikiria mtu kama wema au irene wapewe casts za kijijini na zile tattoos wakati make up artists wetu kuzifuta ni mtihani

Kingine kubadilika character inahitaji muda hasa wa actor kufanya research ya role yake. Sasa bongo unapewa script leo kesho kutwa lokesheni, si kheri wawape Tu waliozoea hizo roles
 
Nafikiria mtu kama wema au irene wapewe casts za kijijini na zile tattoos wakati make up artists wetu kuzifuta ni mtihani

Kingine kubadilika character inahitaji muda hasa wa actor kufanya research ya role yake. Sasa bongo unapewa script leo kesho kutwa lokesheni, si kheri wawape Tu waliozoea hizo roles
Mkuu hii sio sababu......HAWATAKI

Nakumbuka mahojiano flani Aunt Ezekiel alisema mi unipe character ya u house girl SITAKI, akadai anataka character zenye hadhi kama yake
 
Mi huwa najiuliza mbona mtu kama irene uwoya hajawahi kuigiza mtu masikini wa kijijini? Wao kupewa position za kimjini mambo safi.
Ni kama vile unapewa position kulingana na maisha halisi unayoishi. Sijawahi muona muhogo mchungu boss wa ofisini.
Halafu kila mlinzi wa getini kwenye nyumba hizo za kifahari hivi ni lazima awe na akili mbovu mbovu na comedian?
 
Halafu kila mlinzi wa getini kwenye nyumba hizo za kifahari hivi ni lazima awe na akili mbovu mbovu na comedian?
Hata wanigeria wanayo hii kitu. Utamwekaje chizi getini kwako? Haiingii akilini
 
Ile asubuhi ndiokwanza mtu anaamka bado hata hajatoka kitandani unamuona na make up anang'aa kwa wanawake na lipstick kabisa,[emoji134][emoji134][emoji134][emoji848][emoji848][emoji848]!
 
Mkuu hii sio sababu......HAWATAKI

Nakumbuka mahojiano flani Aunt Ezekiel alisema mi unipe character ya u house girl SITAKI, akadai anataka character zenye hadhi kama yake
🤣🤣🤣 mkuu nakumbuka hii issue bhana.. Ilikuwa kwenye kipindi cha bongo movie cha joyce kiria, aunt alikuwa anasema kuna baadhi ya wasanii hawataki kucheza baadhi ya roles ila promo ya kipindi ikatokea hiyo sehemu anayotamka kuwa hawezi cheza kama house girls 😁😁

Unachosema chaweza kuwa kweli pia sipingi
 
Leo nikasema ngoja niangalie vya nyumbani nimefungua YouTube. Nikawa naangalia tamthilia moja ya bongo muvi, asa kuna sehem mama mjamzito amepigwa risasi basi watu waliomzunguuka wakaita ambulance. "hallo ambulance kuna ajali hapa" na yule ambulance akajibu "sawa nakuja" 😂

Nikajisemea mwenyewe asa anakuja, anakuja wapi wakati aliepiga simu ata hakutoa maelezo juu ya tukio na sehem ajali ilipotokea 🤦‍♀️

Haikuishia hapo mara ambulance ikafika wakachukua majeruhi wakampeleka hospital. Kufika hospital badala ya kumpeleka emergency wakampeleka chumba cha mapunziko wakati kwa maelezo yao na muonekano wa majeruhi alikua ameumia damu kila sehem alaf ni mjamzito. Nilivoona ivo tu nikaacha kuangalia, sijui wanatuchukuliaje hawa wanatuona mazoba flani ivi

Muvi na tamthilia zao hazina uhalisia. Kabla ya kuigiza nendeni sehem husika mkapate maelezo kwanza kabla ya kuigiza vitu ambavo havina uhalisia.

Kwa Kawaida mtu ukiita ambulance anaepiga simu lazime aeleze mahali tukio limetokea na atoe adresi ili iwe rahisi ambulance kufika. Na anatakiwa aeleze hali ya mgonjwa ilivo kwa kifupi. Kama ni mjamzito inabidi useme. Na ni ajali ya nini. Inabidi aeleze yote haya kwa ufupi kwa mda usiozidi hata dakika 3.

Alafu sio lazima muigize kila kitu. We tangu lini Tanzania kukawa na ambulance za kufata watu nyumbani kama sio uongo nini. Jirekebisheni au kama sio mtazidi kulamika hatupendi vya kwetu wakati nyie mnatufanya sisi wajinga. Sijui huwa mnatuchukuliaje 👀
Una moyo sana kuangalia Bongo Movie, pole sana kwa kupoteza muda wako
 
Kuna series izi za kiuseazi ndio zinauhalisia kma ile ya kombelela ya sinema zetu ile noma sana aisee [emoji1787]
 
ambulance huwa zinafuata watu nyumbani mara nyingi tu, ila gharama yake ni kati ya 80,000 hadi 100,000.
 
Mkuu hii sio sababu......HAWATAKI

Nakumbuka mahojiano flani Aunt Ezekiel alisema mi unipe character ya u house girl SITAKI, akadai anataka character zenye hadhi kama yake
Vichwani wamejaza matope tu akili makalioni. Nilishaacha kutazama ujinga huo.
 
Back
Top Bottom