Kuna ile babu anakumbukia ujana “miaka 20 nyuma” usishangae kabisa kumuona akiwa kijana kakaa kwenye bango ukutani limeandikwa Hapa kazi tu au hata Royo tuwa 😂😂😂Ogopa sana mbongo muvi akianza kukumbuka maisha ya zamani.
Huwajui vizuri wewe, hata maisha yao muvi tuLakn kwa uongo wao huo huo, wanamaisha mazuri tena ya gharama kuliko mimi
[emoji23][emoji23]Bajeti ndogo
Kikubwa tu mnisubiri nimalizie degree yangu ya movie production na directing nije nitengeneze movie za maana! hawa wanaigiza utumbo!Bongo movie part 1: Matangazo dk 10 Kutembea dk 20, kulia dk 15, kukumbuka tukio la zamani dk 30, watch out part 2.
maisha mazuri ya gharama ya kuigiza kiuhalisia ni makapuku wa kutupwa.Lakn kwa uongo wao huo huo, wanamaisha mazuri tena ya gharama kuliko mimi
Mi huwa najiuliza mbona mtu kama irene uwoya hajawahi kuigiza mtu masikini wa kijijini? Wao kupewa position za kimjini mambo safi.Ukitaka kuinjoi bongo movies usiangalie details wewe furahia story inavyoenda.
Kama hapo ungeangalia tu mama mjamzito aliipigwa risasi mwisho wa siku akapelekwa hospitali inatosha, tena ukiandikiwa Watch out part two
Unakaa na hamu ya kujua kama alifariki au la
Mi huwa najiuliza mbona mtu kama irene uwoya hajawahi kuigiza mtu masikini wa kijijini? Wao kupewa position za kimjini mambo safi.
Ni kama vile unapewa position kulingana na maisha halisi unayoishi. Sijawahi muona muhogo mchungu boss wa ofisini.
Mkuu hii sio sababu......HAWATAKINafikiria mtu kama wema au irene wapewe casts za kijijini na zile tattoos wakati make up artists wetu kuzifuta ni mtihani
Kingine kubadilika character inahitaji muda hasa wa actor kufanya research ya role yake. Sasa bongo unapewa script leo kesho kutwa lokesheni, si kheri wawape Tu waliozoea hizo roles
Halafu kila mlinzi wa getini kwenye nyumba hizo za kifahari hivi ni lazima awe na akili mbovu mbovu na comedian?Mi huwa najiuliza mbona mtu kama irene uwoya hajawahi kuigiza mtu masikini wa kijijini? Wao kupewa position za kimjini mambo safi.
Ni kama vile unapewa position kulingana na maisha halisi unayoishi. Sijawahi muona muhogo mchungu boss wa ofisini.
Hata wanigeria wanayo hii kitu. Utamwekaje chizi getini kwako? Haiingii akiliniHalafu kila mlinzi wa getini kwenye nyumba hizo za kifahari hivi ni lazima awe na akili mbovu mbovu na comedian?
Maisha mazuri ya insta?Lakn kwa uongo wao huo huo, wanamaisha mazuri tena ya gharama kuliko mimi
🤣🤣🤣 mkuu nakumbuka hii issue bhana.. Ilikuwa kwenye kipindi cha bongo movie cha joyce kiria, aunt alikuwa anasema kuna baadhi ya wasanii hawataki kucheza baadhi ya roles ila promo ya kipindi ikatokea hiyo sehemu anayotamka kuwa hawezi cheza kama house girls 😁😁Mkuu hii sio sababu......HAWATAKI
Nakumbuka mahojiano flani Aunt Ezekiel alisema mi unipe character ya u house girl SITAKI, akadai anataka character zenye hadhi kama yake
Una moyo sana kuangalia Bongo Movie, pole sana kwa kupoteza muda wakoLeo nikasema ngoja niangalie vya nyumbani nimefungua YouTube. Nikawa naangalia tamthilia moja ya bongo muvi, asa kuna sehem mama mjamzito amepigwa risasi basi watu waliomzunguuka wakaita ambulance. "hallo ambulance kuna ajali hapa" na yule ambulance akajibu "sawa nakuja" 😂
Nikajisemea mwenyewe asa anakuja, anakuja wapi wakati aliepiga simu ata hakutoa maelezo juu ya tukio na sehem ajali ilipotokea 🤦♀️
Haikuishia hapo mara ambulance ikafika wakachukua majeruhi wakampeleka hospital. Kufika hospital badala ya kumpeleka emergency wakampeleka chumba cha mapunziko wakati kwa maelezo yao na muonekano wa majeruhi alikua ameumia damu kila sehem alaf ni mjamzito. Nilivoona ivo tu nikaacha kuangalia, sijui wanatuchukuliaje hawa wanatuona mazoba flani ivi
Muvi na tamthilia zao hazina uhalisia. Kabla ya kuigiza nendeni sehem husika mkapate maelezo kwanza kabla ya kuigiza vitu ambavo havina uhalisia.
Kwa Kawaida mtu ukiita ambulance anaepiga simu lazime aeleze mahali tukio limetokea na atoe adresi ili iwe rahisi ambulance kufika. Na anatakiwa aeleze hali ya mgonjwa ilivo kwa kifupi. Kama ni mjamzito inabidi useme. Na ni ajali ya nini. Inabidi aeleze yote haya kwa ufupi kwa mda usiozidi hata dakika 3.
Alafu sio lazima muigize kila kitu. We tangu lini Tanzania kukawa na ambulance za kufata watu nyumbani kama sio uongo nini. Jirekebisheni au kama sio mtazidi kulamika hatupendi vya kwetu wakati nyie mnatufanya sisi wajinga. Sijui huwa mnatuchukuliaje 👀
Unaishi wapi wewe?inaonekana hujui kabisa maisha ya maigizo ya wasaniiLakn kwa uongo wao huo huo, wanamaisha mazuri tena ya gharama kuliko mimi
Vichwani wamejaza matope tu akili makalioni. Nilishaacha kutazama ujinga huo.Mkuu hii sio sababu......HAWATAKI
Nakumbuka mahojiano flani Aunt Ezekiel alisema mi unipe character ya u house girl SITAKI, akadai anataka character zenye hadhi kama yake