sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Hawa wakuitwa "Wa Kimataifa" hebu tuchunguze matokeo yake tangu ligi ianze.. lengo ni kuona, "je yaliyomo yamo??''
28/08/2016: Young Africans 3 - 0 African Lyon
07/09/2016: Ndanda 0 - 0 Young Africans
10/09/2016: Young Africans 3 - 0 Majimaji
Na matokeo ya hao aliopambana nao yakoje?
1. African Lyon
20/08/2016: Azam 1 - 1 African Lyon
28/08/2016: Young Africans 3 - 0 African Lyon
03/09/2016: Ruvu Stars 0 - 0 African Lyon
2. Ndanda
20/08/2016: Simba 3 - 1 Ndanda
27/08/2016: Mtibwa Sugar 2 - 1 Ndanda
07/09/2016: Ndanda 0 - 0 Young Africans
3. Maji Maji
20/08/2016: Maji Maji 0 - 1 Tanzania Prisons
27/08/2016: Azam 3 - 0 Maji Maji
03/09/2016: Maji Maji 1 - 2 Mtibwa Sugar
10/09/2016 Young Africans 3 - 0 Maji Maji
Mategemeo ya wengi ni kwakua hawa jamaa wametoka kupambana na miamba ya barani Africa juzi juzi [wako moto].. Ingekua kila wakiingia uwanjani katika hii ligi yetu ya mchangani, timu pinzani zingekua zinaondoka na kapu la magoli.. Lakini imekua kinyume chake.
Mfano:
1. Timu ambayo imegongwa mechi zake zote, eti ina draw nanyi??! Hivi ninyi ni wa kimataifa kweli au wakimataifa uchwara??
2. Timu ambayo imefungwa mechi zake zote za ligi ya mchangani, leo wazee wa kimataifa mnaifunga goli 3 kweli??
3. Timu ambayo imetoka ligi ya mchanganiest miezi michache tu iliyopita mnaifunga goli 3 kwa mbinde?? Alafu mnadiriki kujiita wa kimataifa!??!
Kinachoniuma ni kuendelea kuaibika kwa mwaka mmoja mbele katika uwanda wa soka la Africa.. Maana navyoona mtatuaibisha zaidi Msimu ujao.. Ndo hivyo hatuna jinsi..
Mola tuepushe na hii aibu nayoiona... Sijui itakua ni kwa jinsi gani maana hawa jamaa hawabebeki, ila wewe wajua Baba.
28/08/2016: Young Africans 3 - 0 African Lyon
07/09/2016: Ndanda 0 - 0 Young Africans
10/09/2016: Young Africans 3 - 0 Majimaji
Na matokeo ya hao aliopambana nao yakoje?
1. African Lyon
20/08/2016: Azam 1 - 1 African Lyon
28/08/2016: Young Africans 3 - 0 African Lyon
03/09/2016: Ruvu Stars 0 - 0 African Lyon
2. Ndanda
20/08/2016: Simba 3 - 1 Ndanda
27/08/2016: Mtibwa Sugar 2 - 1 Ndanda
07/09/2016: Ndanda 0 - 0 Young Africans
3. Maji Maji
20/08/2016: Maji Maji 0 - 1 Tanzania Prisons
27/08/2016: Azam 3 - 0 Maji Maji
03/09/2016: Maji Maji 1 - 2 Mtibwa Sugar
10/09/2016 Young Africans 3 - 0 Maji Maji
Mategemeo ya wengi ni kwakua hawa jamaa wametoka kupambana na miamba ya barani Africa juzi juzi [wako moto].. Ingekua kila wakiingia uwanjani katika hii ligi yetu ya mchangani, timu pinzani zingekua zinaondoka na kapu la magoli.. Lakini imekua kinyume chake.
Mfano:
1. Timu ambayo imegongwa mechi zake zote, eti ina draw nanyi??! Hivi ninyi ni wa kimataifa kweli au wakimataifa uchwara??
2. Timu ambayo imefungwa mechi zake zote za ligi ya mchangani, leo wazee wa kimataifa mnaifunga goli 3 kweli??
3. Timu ambayo imetoka ligi ya mchanganiest miezi michache tu iliyopita mnaifunga goli 3 kwa mbinde?? Alafu mnadiriki kujiita wa kimataifa!??!
Kinachoniuma ni kuendelea kuaibika kwa mwaka mmoja mbele katika uwanda wa soka la Africa.. Maana navyoona mtatuaibisha zaidi Msimu ujao.. Ndo hivyo hatuna jinsi..
Mola tuepushe na hii aibu nayoiona... Sijui itakua ni kwa jinsi gani maana hawa jamaa hawabebeki, ila wewe wajua Baba.