Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo mambwa yanaua mpaka simba na tiger?????????Maumbwa ya maabara hayo wameyatengeneza kwa kuunda vinasaba. Hakunaga mbwa wa asili kama huyu.
Halafu sio salama kuyafuga maana wanamatukio ya kushambulia sana watu. Ukitaka kuyatumia haya maumbwa labda katika kuwinda wanyama hatari kama nyoka, au wanyama pori hatari kama simba chui au tiger wakiingia katika makazi ya watu. Ila sio kwaajiri ya kukaa nao nyumbani.
Hatari mno mkuu. Mfanyie mama J suprise, mnunulie katoto ka pitbull kamoja akafuge[emoji38]Hawa mbwa naskia Kuna baadhi ya nchi wamepigwa marufuku mtu kuyafuga
Ulitaka kumuuaje?Yeah kweli Mkuu week iliyo pita nimemaliza kuuguza kidonda changu baada ya kung'atwa na Mbwa wangu mwenyewe Yani niliingia ndani gafla akaanza kunishambulia Tena ilikuwa mchana kweupe [emoji1787][emoji1787] nilitaka kumuua lkn nimeamua kumuacha tuu View attachment 2518626
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Wanatumika kuua simba, nyati nk. Sasa mbwa anapambana na simba na kuua ni wa kufuga huyo?Huyu mbwa Yuko Kama ibilisi aisee[emoji15]View attachment 2518630
Hatari hao. Kama ni kufuga ni vema asizidi mmoja.Macho Yao sasa[emoji15]View attachment 2518632
Vifua vipana mno. Tuliwahi kufuga mmoja wa aina hiiMacho Yao sasa[emoji15]View attachment 2518632
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] fuga mkuuHawa mbwa mabaunsa balaa[emoji4]View attachment 2518636
Hilo nalo nenoWabongo wengi mbwa wenu hamuwapi msosi wa kutosha... Ndio maana
Manunu kazi yake kubwa ni kulamba mbususuUnamuongelea manunu au?
Wakinisahau je?[emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] fuga mkuu
Hakuwadhuru?Vifua vipana mno. Tuliwahi kufuga mmoja wa aina hii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wiki TU tunamzikaHatari mno mkuu. Mfanyie mama J suprise, mnunulie katoto ka pitbull kamoja akafuge[emoji38]
Vija munashuliyana ubuuzi...katibampya dutaipat.a kwari iyi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wiki TU tunamzika
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]bobi....Kuna hao, na Rottweiler, hawafai hata kidogo. Bora tuendelee kufuga kina bobi tu.
Itakuwa crossover ya nguruwe na mbwaIjumaa Kareem!
Matukio ya mauaji ya wamiliki na watoto kutoka kwa mbwa hawa yamekuwa mengi sana. Malalamiko nayo yamekuwa mengi sana kila kona ya dunia hii.
Swali langu ni je, vinasaba vya mbwa hawa ni vya asili kabisa na havijafanyiwa 'cross breeding'?
Kwa sababu kimuonekano wanatisha isivyo kawaida, hasa sura, na miili yao haina manyoya kama ya mbwa tulioawazoea!
Pia vifua vyao ni vipana sana na wanatembea kwa kujitanua mno(kibabe) hali inatozidi kunipa mashaka sana.
Nakumbuka tuliwahi kuwa na mbwa wa aina hii zaidi ya mara mbili nikiwa mdogo kiasi, ila sikujua kama ni pitbull.
Mpaka nilivyoona picha zao na kuoanisha na mbwa tuliowahi kufuga ndipo nimepata picha kuwa wale mbwa tuliokuwa tukifuga ndiyo PitBull wenyewe(niliogopa).
View attachment 2504647View attachment 2504646
Huyu si mbwa , it's something else.Huyu mbwa Yuko Kama ibilisi aisee[emoji15]View attachment 2518630
Nimekuja kugundua kuwa tulikuwa tunafuga hatari baada ya kuwajua pitbulls ukubwani. Aisee nilipowaona pitbulls nikakumbuka tulikuwa na mbwa aliyekuwa na sifa zote hasa umbo na masikio kama pitbull, na upana wa kifua. Sijui mbegu yule mzee aliipata wapi ile.Hakuwadhuru?
Khaaa, mamamamaaaaaeHuyu mbwa Yuko Kama ibilisi aisee[emoji15]View attachment 2518630