Hivi hawa mbwa aina ya Pitbull ni mbwa halisi?

Hivi hawa mbwa aina ya Pitbull ni mbwa halisi?

Maumbwa ya maabara hayo wameyatengeneza kwa kuunda vinasaba. Hakunaga mbwa wa asili kama huyu.

Halafu sio salama kuyafuga maana wanamatukio ya kushambulia sana watu. Ukitaka kuyatumia haya maumbwa labda katika kuwinda wanyama hatari kama nyoka, au wanyama pori hatari kama simba chui au tiger wakiingia katika makazi ya watu. Ila sio kwaajiri ya kukaa nao nyumbani.
Hayo mambwa yanaua mpaka simba na tiger?????????
 
Ijumaa Kareem!

Matukio ya mauaji ya wamiliki na watoto kutoka kwa mbwa hawa yamekuwa mengi sana. Malalamiko nayo yamekuwa mengi sana kila kona ya dunia hii.

Swali langu ni je, vinasaba vya mbwa hawa ni vya asili kabisa na havijafanyiwa 'cross breeding'?

Kwa sababu kimuonekano wanatisha isivyo kawaida, hasa sura, na miili yao haina manyoya kama ya mbwa tulioawazoea!

Pia vifua vyao ni vipana sana na wanatembea kwa kujitanua mno(kibabe) hali inatozidi kunipa mashaka sana.

Nakumbuka tuliwahi kuwa na mbwa wa aina hii zaidi ya mara mbili nikiwa mdogo kiasi, ila sikujua kama ni pitbull.

Mpaka nilivyoona picha zao na kuoanisha na mbwa tuliowahi kufuga ndipo nimepata picha kuwa wale mbwa tuliokuwa tukifuga ndiyo PitBull wenyewe(niliogopa).
View attachment 2504647View attachment 2504646
Itakuwa crossover ya nguruwe na mbwa
 
Mambo yenyewe haya ....hapana Kwa kweli
 

Attachments

  • VID-20230210-WA0007.mp4
    3.3 MB
Hakuwadhuru?
Nimekuja kugundua kuwa tulikuwa tunafuga hatari baada ya kuwajua pitbulls ukubwani. Aisee nilipowaona pitbulls nikakumbuka tulikuwa na mbwa aliyekuwa na sifa zote hasa umbo na masikio kama pitbull, na upana wa kifua. Sijui mbegu yule mzee aliipata wapi ile.

Alikuwa akituchejia mara kadhaa kwa kweli
 
Back
Top Bottom