Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 2,162
- 2,616
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah wapi tiger na simba habari ingine mzeeHayo mambwa yanaua mpaka simba na tiger?????????
Mkuu hii ya kuua simba ni kweli? Au chaiWanatumika kuua simba, nyati nk. Sasa mbwa anapambana na simba na kuua ni wa kufuga huyo?
Mavi ya kuku...wakifika porini wachumba tuu.Hayo mambwa yanaua mpaka simba na tiger?????????
amini kwamba rotweiller anawakalisha hao mzee....mfate youtube ukaone purukushani zake.Aaah wapi tiger na simba habari ingine mzee
Hivi dude linamkalisha mnyama mtata kama nyati afu eti lije likalishwe na mbwa.. huyu mbwa watu wanampa sifa sio zake.Mavi ya kuku...wakifika porini wachumba tuu.
Hata Mimi sikubali mkuu.Hivi dude linamkalisha mnyama mtata kama nyati afu eti lije likalishwe na mbwa.. huyu mbwa watu wanampa sifa sio zake.
Yani awekwe simba mmoja na huyo mbwa halafu simba akalishwe sio kweli hiyo battle mbwa lazima alambishwe mchanga
Hakuna mbwa anayeweza kupambana na Simba achilia mbali nyati umewahi kumuona Simba kweli?Wanatumika kuua simba, nyati nk. Sasa mbwa anapambana na simba na kuua ni wa kufuga huyo?
OK, kwa hilo yawezekana cross breeding yake ilichanganywa na simba! Kwa 30%.Yani kwa hizo crossbreeding zote, rottweiler na hao pitbull ndio vichaa. Hawafai kabisa kufugwa, kwanza wanamtindo wa kupoteza kumbukumbu.
Kuna clip niliona hao pitbull wamemshambulia mbwa wa aina nyingine na kumla
Atakuwa amemuona kwenye chaneli za wanyama sio physically simba habari ingine ile.Hakuna mbwa anayeweza kupambana na Simba achilia mbali nyati umewahi kumuona Simba kweli?
Hao mbwa hawataki kukaa njaa, wanataka kila muda uliowekwa (waliouzoea) kwa ajili ya kula basi chakula kiende na kwa wastani utakao wafanya waridhike.Nimekuja kugundua kuwa tulikuwa tunafuga hatari baada ya kuwajua pitbulls ukubwani. Aisee nilipowaona pitbulls nikakumbuka tulikuwa na mbwa aliyekuwa na sifa zote hasa umbo na masikio kama pitbull, na upana wa kifua. Sijui mbegu yule mzee aliipata wapi ile.
Alikuwa akituchejia mara kadhaa kwa kweli
Simba mmoja hawezi kuua nyati mkubwa mwenye utimamu wa mwili, labda awe anaumwa au ni mzee.Hivi dude linamkalisha mnyama mtata kama nyati afu eti lije likalishwe na mbwa.. huyu mbwa watu wanampa sifa sio zake.
Yani awekwe simba mmoja na huyo mbwa halafu simba akalishwe sio kweli hiyo battle mbwa lazima alambishwe mchanga
Lakini pia Simba mmoja hafanyi chochote kwa nyati aliyetimamu kimwili, labda kama ulimaanisha nyati mtoto.Hakuna mbwa anayeweza kupambana na Simba achilia mbali nyati umewahi kumuona Simba kweli?