Na aliyesema kuwa "Sio kila goli linafungwa kupitia shot on target," ni nani? Naomba niambie kuna goli gani liliwahi kufungwa kwa mpira kwenda nje ya goli (of target)Point yangu ni kuwa nilimaanisha sio kila unapoona zero short on target basi hakukuwa na hatari
Watu wenye techno bana sasa wewe hapa unajadili team yako?Yanga hawajielewi ndo maana kila mda wanaikosoa simba badala ya kulijadili litimu lao bovuuu.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3]mtu kama wewe unajiita mwana michezo hujui hata goli linafungwa vipiSio kila goli linafungwa kupitia shot on target, utopolo jielemishe.
sio mara kumi mkuu hata iwe mara buku 2 iyo sio short on target na haitahesabiwaNi hivi mpira ukigonga mwamba au nguzo inakuwa sio shot on target mpaka liwe goli ndio itahesabika kama ilikuwa shot on target. Kwa maana hiyo nguzo ikigongeshwa hata mara kumi bila kuwa magoli itahesabika ni zero shot on target. Je timu pinzani ikigongesha nguzo mara kumi utaisifia beki kuwa ni imara sana kwa vile tu shot on target inasoma zero? Ume elewa au niendelee kukupa shule mbumbumbu wa utopolo?
Nimerudia kusoma mara nne nne najaribu kuwaza anataka kumaanisha nini maana mimi naona haiwezekani kupatikana goli kupitia mashuti yanayopigwa nje ya goli. Sasa jamaa kanistajabisha aisee[emoji3][emoji3]mtu kama wewe unajiita mwana michezo hujui hata goli linafungwa vipi
Kweli nilivyoandika kuna makosa ila nilikuwa namaanisha sio kila unapoona zero shot on target basi hakuna shambulizi linalokaribia kuwa goli limefanyika.[emoji3][emoji3]mtu kama wewe unajiita mwana michezo hujui hata goli linafungwa vipi
Mimi sio upotolo we ngedele matatizo yenu msihamishie kwetu, yale maneno waliambiwa mashabiki wa upotoloEymeel alikutukana hata wewe . Kichwa cha duara . Unadhani walitukanwa yanga tu? Kwa taarifa yako ubaguzi hauna ubaguzi! Akibaguliwa ngolo kante kule Epl tumebaguliwa weusi wote bila kujali wewe ni chelsea au simba.
Endelea kuwasifia wazungu kisa simba na yanga
Ndo.mana mnafeli mitihani nyinyiMimi sio upotolo we ngedele matatizo yenu msihamishie kwetu, yale maneno waliambiwa mashabiki wa upotolo
Nyie mmefanikiwq kuchukua kombe la mapinduzi mkawakishe nchi sasaNdo.mana mnafeli mitihani nyinyi
Mboo hamkufunga basi . Eti au hamkutengewaGoli ambalo hata wewe demu ukitengewa unaeweza kufunga ndiyo yanakupa jeuri kuwa unashabikia wanaume?