Hivi hawa wadada ni watanzania?

Hivi hawa wadada ni watanzania?

Pamoja na kuja mjini hauna ktu bado mshamba ...unadanganywa na rangi za kununua bado haujawa mjanja unaitaji muda
mimi sikaangalia rangi wala sura, nimeangalia swagz za kimbelembele na kikristu. karibu mjini dogo!
 
mimi sikaangalia rangi wala sura, nimeangalia swagz za kimbelembele na kikristu. karibu mjini dogo!
Kweli wewe wa tandahimbaa kubaniwa pua ndio swagg... angalia utaibiwa
 
hebu rudi Tandahimba...
tokomea njawara kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
maana hawa unaowataja hawana viwango hivo
 
Kiukweli kabisa mimi nimekuja mjini mwaka jana tu, yaani sikuzote nilikuwa nakaa kwetu Tandahimba ndanindani, Redio niliyokuwa nasikiliza ni RTD sasahivi inaitwa TBC Taifa. Na hata kiswahili nimejifunza baada ya kuja mjini. Nilivyokuja mjini ndio nikaanza kuwajua na wasanii sahivi nimekuwa mjanja hadi najiogopa. Swali langu ni je hawa wadada wamezaliwa Tanzania au wamekuja huku ukubwani kwa bahati mbaya? Maana tabia na swaga zao naona kabisa hawastahili kukaa kwenye hii nchi ya waswahili akina Msagasumu na ManFongo, sio type yao kabisa. Hawa walifaa sahivi wawe mitaa ya NewYork City wanakula maisha na wakina Mayweather na Justin Bieber. Ukipiga nao stori huwezi fikiri kama hata msalani wanaenda, yaani kumbe kukaa Tandahimba nilikuwa napitwa na mengi.


View attachment 410338
View attachment 410339
View attachment 410343
View attachment 410340
View attachment 410345
View attachment 410341
Google na zile zilizoko kwenye video ya SUPU ya giggy mahela.
ziko hapa(kwa wakubwa tu)supu gigy money - Google Search
 
Back
Top Bottom