joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Vipi tena Shehe wangu!!mbwa ww
You are rightMechi iliisha ikulu ile
Hata kama hawakutufunga kule Kampala,bado jamaa hawakuwa na pressure kivile kama sisi.Kwao walitufunga? ?
Sio kweli! Tuliwafunga kihalali hatukubebwaHapo ndio ujue waganda walitubeba ili na sisi angalau tukaonekane huko misri
Una makengeza nini!!!?...wao ndo walikua na presha,sisi tulikua tunapga kauntaHata kama hawakutufunga kule Kampala,bado jamaa hawakuwa na pressure kivile kama sisi.
Mafundi wa ATCL walikuwa walianza kukagua injini za ndege yetu kabla ya mechi ya Taifa Stars vs Kenya,tayari kwa ajili yaUna makengeza nini!!!?...wao ndo walikua na presha,sisi tulikua tunapga kaunta
Kwa hyo!!!?Mafundi wa ATCL walikuwa walianza kukagua injini za ndege yetu kabla ya mechi ya Taifa Stars vs Kenya,tayari kwa ajili ya
safari ya kurudi home, ilhali marubani wa ndege ya Uganda wao bado wana matumaini ya kuendelea kula bata mitaa ya Cairo na Alexandria.