joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Yaani mpaka najiuliza tuliwafunga vipi,yaani Uganda wanaumwaga mwingi ,pamoja na kuongozwa lakini hili mbungi wanalolipiga si la kitoto.Kuna uwezekano mechi yetu iliisha nje ya uwanja,ndani Uganda walikuwa wanaigiza.