Hivi Hawa walimu wapo wapi? Mkandawile, Mama Shija, Ndosi, Ngalawa..

Hivi Hawa walimu wapo wapi? Mkandawile, Mama Shija, Ndosi, Ngalawa..

Aisee...Mkandawire alifanya tuione A-level Chemistry ni somo rahisi. Nakumbuka akishafundisha ki-topic fulani anakuja kutoa mfano wa swali la NECTA bila kusoma popote utamsikia 'Necta 1992 Question 4a...........'
Nakumbuka alikuwa anapenda kusema 'mtapata tabu kweli...'
Haha, wapi mbugi na ustadhi, wapi mussa biteba, wapi osama
 
Mkanda wile . Mtaalamu wa Chemistry alikuwa anatufundisha chemistry Tuion Makongo ,jamaa alikuwa anatembea na picha wa Mke wake, jamaa alikuwa safi sana. namkumbuka sana huyu jamaa , vijana waliomaliza Kigonsera mwaka 2004 wlifauru vizuri chemistrty kupitia Notes za huyu jamaaa.

mwishoni alikopa pesa bank ya CRDB Shs. milion mia tano.
akaanzisha shule ya sendary Maeneo ya Pugu Shule yake ilikuwa inaitwa VICTORY HIGH SCHOOL , kadri siku zinakwenda alishindwa kuiendesha ile shule kiasi hata akashindwa kuwalipa mishahara walimu wake. Baadaye akakimbia sijui alikimbilia wapi Then benk ikaja kumpokonya ile shule. Mpaka hapo sijui kilichoendelea. Namkumbuka sana Jamaa. na lugha yake ya Kra,kra akitengeneza bond ya organic Compound.

S mwenye taarifa naye zaid atujuze.


Wewe acha kupayuka, shule yake haijawahi kuitwa Victory, ukitaka kuandika kitu uwe na taarifa za uhakika ndio sababu kuna sheria ya matumizi ya mitandao kwaajili ya wahuni kama wewe.
 
Mzee wa mbwembwe Mr. SOO MUCH alikua anakamua Chemistry na Mathematics, wazee wa biology kulikua na mkali anaitwa MAKUMAKU..Physics kuna Busanji(RIP) na Ustaadh alikua yuko vizuri sana kwenye Physics..notes za Physics toka kwa Wibonele (RIP)
 
Mzee wa mbwembwe Mr. SOO MUCH alikua anakamua Chemistry na Mathematics, wazee wa biology kulikua na mkali anaitwa MAKUMAKU..Physics kuna Busanji(RIP) na Ustaadh alikua yuko vizuri sana kwenye Physics..notes za Physics toka kwa Wibonele (RIP)
Alisha tutoka Busanji?!! Enzi hizo viwanja ni Mkwawa, Pugu na Mnazi mmoja.
Rip Busanji[emoji120][emoji120]
 
Hivi yule muchant or merchant wala hata jina lake tabu .hivi alikuwa ni mwalimu au ujinga ulimjaa
Alikuwa Mwl mzuri sana wa Advanced Mathematics, alikujachukuliwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na kuwa Mkurugenzi msaidizi wa ukaguzi wa shule nchini. Inawezekana pengine ni wewe ulitofautiana naye kitu au jambo fulani, but was among the best teachers of mathematics in the country! Pole sana kama mlienda ndivyo sivyo ila alisifiwa mno kwa umahiri wake hadi wizara ikamchukua na kumpa ukurigenzi! Sasa hivi atakuwa ameshastaafu nadhani! Pole sana dada kama uliliwa kichwa na Mr Merchant!
 
Kufanya biashara ni kipaji kingine kinachojitegemea. Mkandawile na ujuzi wake wote wa Chemistry alishindwa kufanya biashara ya shule... too sad.
 
Mkandawile nilisikia alikopa bankwaa pesa akaanzisha shule huko huko maeneo ya pugu, kashindwa kulipa deni akanyang'anywa na bankwaa.
Akauza nyumba aliyopanga na kukimbila Lake Sekondary ,Mwanza.Lake hakukaa sana akaenda Geita,huko akisimamia kituo cha tuition.Shule yake iliitwa Mkandawile sec.school na ilipouzwa ikautwa Daora sekondari.Sasa hivi sijui ikoje.
 
Akauza nyumba aliyopanga na kukimbila Lake Sekondary ,Mwanza.Lake hakukaa sana akaenda Geita,huko akisimamia kituo cha tuition.Shule yake iliitwa Mkandawile sec.school na ilipouzwa ikautwa Daora sekondari.Sasa hivi sijui ikoje.
Duuuh Jamaa Mzushi anauza hadi nyumba ya watu aliyopanga? Hakukamatwa kweli kwa utapeli? Ukichukua Mkopo Bank inabidi ujipange vizuri ukiepeleka sehemu tofauti na ulipokusudia lazima ile kwako maana marejesho yatafeli.
 
Noma sana.....
Mkanda wile jitokeze yuambie life likoje sasa hivi Mkuu..
 
Kweli wewe ni vichekesho, nadhani kwenye akili yako na maisha yako na rika lako hukuwahi kuwajua walimu wazuri Tanzania, unayemjua ni Mkandawile tu ndiyo maana unamuombea tuzo! Haya nenda Mwanza utamkuta akivua samaki !
 
Back
Top Bottom