Mkuu nahisi Kuna jambo limenipita Vero ni nani na anahusika vipi na walinzi wa viongozi..?πMuulize Vero
Ni miongoni mwa walinzi wa mheshimiwaMkuu nahisi Kuna jambo limenipita Vero ni nani na anahusika vipi na walinzi wa viongozi..?π
Leta picha yakeNi miongoni mwa walinzi wa mheshimiwa
Dada chukua namba yangu mi mlinzi wa Mzee Malecela sibadili namba π kama upo Dodoma nicheki chapπππKuna siku kiongozi mkubwa wa nchi alikuja eneo letu, sasa wale mabodigadi wanaovaa miwani Black wanaokaa nyuma ya viongozi nikakutana nae wakati wa chakula, akanielewa tukapeana number.
Ila since then kila siku ana number mpya, nashindwa kumuelewa kama yuko really au ndio kupotezeana muda?
Picha video kusindikizia uzi vipo wapi wewe?Kuna siku kiongozi mkubwa wa nchi alikuja eneo letu, sasa wale mabodigadi wanaovaa miwani Black wanaokaa nyuma ya viongozi nikakutana nae wakati wa chakula, akanielewa tukapeana number.
Ila since then kila siku ana number mpya, nashindwa kumuelewa kama yuko really au ndio kupotezeana muda?
Kwa hio unataka umtunuku au inakuaje je alikua jinsia KE au ME ?akanielewa tukapeana number.
Nasubiria jibuSwali la kizushi,
Alishakukaza??π€
Uongo matapeliNi miongoni mwa walinzi wa mheshimiwa
Mfafanulie tena hapo hawezi kukuelewaUongo matapeli
Walinzi huwa na namba official na private ambazo hazibadiliki hata siku moja
Hata raisi huwa na namba official na private hizo private huwasiliana na familia na marafiki na habadilishi hata siku moja
Wewe umekutana na matapeli