Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Walinzi gani.. au wale wa Chadema? Mlinzi ana kidevu kama ngazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mfunulie aweke alama kuwa alishawahi kukupitia, na ndio meisho wa habariKuna siku kiongozi mkubwa wa nchi alikuja eneo letu, sasa wale mabodigadi wanaovaa miwani Black wanaokaa nyuma ya viongozi nikakutana nae wakati wa chakula, akanielewa tukapeana number.
Ila since then kila siku ana number mpya, nashindwa kumuelewa kama yuko really au ndio kupotezeana muda?
AtajijuaUlitapeliwa na green guard wa CCM, hakuna mtu wa usalama/polisi kitengo cha PSU ata dandia dandia mashangazi mitaani. Malizana na huyo green guard.
Uko timamu kweli,?unanijibu mimi ndiyo mleta mada?Uongo matapeli
Walinzi huwa na namba official na private ambazo hazibadiliki hata siku moja
Hata raisi huwa na namba official na private hizo private huwasiliana na familia na marafiki na habadilishi hata siku moja
Wewe umekutana na matapeli
Nimemjibu on behalf kupitia wewe ulieungana nae kujibu uongoUko timamu kweli,?unanijibu mimi ndiyo mleta mada?
MmmmmmmmSasa kama anabadilisha namba na bado akakutafuta, huoni kuwa yupo real?
Watu wengine aise!
Kuna siku kiongozi mkubwa wa nchi alikuja eneo letu, sasa wale mabodigadi wanaovaa miwani Black wanaokaa nyuma ya viongozi nikakutana nae wakati wa chakula, akanielewa tukapeana number.
Ila since then kila siku ana number mpya, nashindwa kumuelewa kama yuko really au ndio kupotezeana muda?
Hahahah pengine kweli ni swaga tuSwaga tu umuone wa maana, hana lolote