Hivi hawa wasanii wa bongo kwenye mkutano wa CCM kazi yao kubwa ni nini?

Hivi hawa wasanii wa bongo kwenye mkutano wa CCM kazi yao kubwa ni nini?

Attachments

  • Screenshot_20250119_215150.jpg
    Screenshot_20250119_215150.jpg
    350.1 KB · Views: 2
Sioni cha maana zaidi ya wao kupiga mipicha tu.
Labda kama kuna aliyeelewa hawa wasanii wa sijui bongo fleva na movies kwenye huu mkutano wa ccm kazi yao kubwa ni nini anieleweshe.
ni uzalendo tu gentleman kwa chama na serikali 🐒
 
Sasa hao wasanii wana akili kweli ya kudadavua hizo sera za ccm kwa umma tukaelewa?
Wanazo

Raisi Samia ameshasafiri nao na ndege ya raisi wakatafute soko la sanaa zao nje ya nchi

Ndio maana wamejazana Dodoma kusikiliza sera za CCM hawajan8 Chadema waongea maneno matupu .hasa ya Tundu Lisu
 
😅Nimejikuta nimemkumbuka marehemu chako ni chako comrade kabisa
😅😅😅 Nina zaidi ya 24 sijui condom mie 🤣🤣🤣.. mnapozungumzia condoma siwaelewi.. kitambo kuzipata hizo KY na hizi lubricant zingine haikuwa kazi rahisi.. ila wazee tumetoboa Hadi leo
 
Sasa wacha nikufahamishe "katika Kila jambo lolote la serias msiende watu wote wa serias" wekeni na mtu mmoja miyeyusho awepo iwe kikao, iwe misiba, iwe sherehe Yan hakikisha wanakuwepo hao watu
Hii formula ni apa apa bongo land
 
Una uhakika ngwengwe huna basi utakua ni carrier wa HIV wewe
ma-carrier wa HIV wapo fit, sio rahisi kuugua😅
😅😅😅 Nina zaidi ya 24 sijui condom mie 🤣🤣🤣.. mnapozungumzia condoma siwaelewi.. kitambo kuzipata hizo KY na hizi lubricant zingine haikuwa kazi rahisi.. ila wazee tumetoboa Hadi leo
 
Una uhakika ngwengwe huna basi utakua ni carrier wa HIV wewe
ma-carrier wa HIV wapo fit, sio rahisi kuugua😅
Ngwengwe haipo.. nilipigama mwaka juzi.. kipindi manzi yangu ina ukimwi, tukakutwa wote tupo fresh.. blood group O hatupataki ukimwi.. kazi kwenu
 
Sioni cha maana zaidi ya wao kupiga mipicha tu.
Labda kama kuna aliyeelewa hawa wasanii wa sijui bongo fleva na movies kwenye huu mkutano wa ccm kazi yao kubwa ni nini anieleweshe.
Itakuwa kuhamasisha vijana kupenda CCM
 
Back
Top Bottom