Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fursa kama za mwanaFA,mwanzao shule ipo!Sioni cha maana zaidi ya wao kupiga mipicha tu.
Labda kama kuna aliyeelewa hawa wasanii wa sijui bongo fleva na movies kwenye huu mkutano wa ccm kazi yao kubwa ni nini anieleweshe.
N J A A I N A W A S U M B U ASioni cha maana zaidi ya wao kupiga mipicha tu.
Labda kama kuna aliyeelewa hawa wasanii wa sijui bongo fleva na movies kwenye huu mkutano wa ccm kazi yao kubwa ni nini anieleweshe.
kwan mama watch100 si yule nae ni muigzajSioni cha maana zaidi ya wao kupiga mipicha tu.
Labda kama kuna aliyeelewa hawa wasanii wa sijui bongo fleva na movies kwenye huu mkutano wa ccm kazi yao kubwa ni nini anieleweshe.
Kupiga pesaSioni cha maana zaidi ya wao kupiga mipicha tu.
Labda kama kuna aliyeelewa hawa wasanii wa sijui bongo fleva na movies kwenye huu mkutano wa ccm kazi yao kubwa ni nini anieleweshe.
Kwahyo ni mwendo wa mazuta ya NAZIKwani watu wanatumia ndoa siku hizi ?
KYKwahyo ni mwendo wa mazuta ya NAZI
Wanawaunga mkono wasanii wenzao. Hawa ni wasanii wa njaa na wale wa CCM ni wa kisiasa. Zote ni sanaa za kuibia waathirika na kunga'ng'ania madaraka ili kuendelea kula dezo. Unachezo na ulaji wa dezo wewe mwanangu?Sioni cha maana zaidi ya wao kupiga mipicha tu.
Labda kama kuna aliyeelewa hawa wasanii wa sijui bongo fleva na movies kwenye huu mkutano wa ccm kazi yao kubwa ni nini anieleweshe.
Sasa hao wasanii wana akili kweli ya kudadavua hizo sera za ccm kwa umma tukaelewa?Kusikiliza sera za CCM na ripoti ya utendaji wa CCM kwenye ilani ya CCM ya kipindi kilichopita na kijacho vipengele vinavyowahusu wao kama wasanii kuwa serikali ya CCM imewafanyia nini na itawafanyia nini?
Mambo ambayo huko Chadema hayako hoja ni ohhh Mbowe must go wajinga nyie hamna sera ya mkutano mkuu wenu
Nimeshangaa kuona eti Doto magari nae ni mualikwa.ccm wanafurahisha sana watu walionunaHakuna mwenye AKILI kwenye kundi la wasanii walioenda Dodoma ukiwa mtu mwenye AKILI TIMAMU kabisa,utaelewa kuwa CCM imeoza kama wasanii wenyewe walivyo oza,wasanii ni kama nzi wanaofuata mahali pachafu.
Mashabiki wao wakiwafuatilia wanaona na yale ya chamaSioni cha maana zaidi ya wao kupiga mipicha tu.
Labda kama kuna aliyeelewa hawa wasanii wa sijui bongo fleva na movies kwenye huu mkutano wa ccm kazi yao kubwa ni nini anieleweshe.
🤣 🤣 🤣Viburudisho......
Hili ndo la msingiDawa ni nyie kususia kazi zao tu
Maana nyie mnaowafatilia mnawapa promo tu
Ova