Ni wapenda pesa, anatoa sana pesa , binti haji kwa kumpenda , bali pesa na wanakuwa na asili ya umalaya malaya! (sorry for the nasty comment)Watu sisi tuna angalau kidogo sio kwamba sisi ni matajiri lakini vidogo vidogo vya kusukuma maisha mbele na kusaidia wapendwa na watoto wazuri hatuwezi kosa
Lakini mapenzi yanatusumbuwa kinoma yaani
Mpaka kuna mda nafikiria labda Haji anatumia kizizi yule sio bure maana namuona anakaa saana kiuganga
Kweli mimi wakuzungushwa na watoto wa Tandale kwa tumbo
View attachment 2402708
Ni wapenda pesa, anatoa sana pesa , binti haji kwa kumpenda , bali pesa na wanakuwa na asili ya umalaya malaya! (sorry for the nasty comment)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cjui kwann nimecheka.Sasa wewe unashinda baa za uswazi huko temeke watoto wazuri utawasikia kwenye bomba!
Jichanganye Viwanja classic uone kama hutaopoa watoto classic pia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wekeza kwa hao watoto wazuri utawapata wa kutosha! Ukiombwa laki tano, mpe milioni, watakuja kama nyuki!
Madem wa Insta lakini kwa virungu hawajambo labda uwe maarufu mkuu.Haji anapost pisi ikicomment tu anaingia kwenye profile anaikagua akiona inafaa kwa matumizi anatimba Dm huko ndipo wanapomalizana..Instagram kuna mademu wakali sana ndugu zangu
Hela anazo? Classic venues local beer bei ya chini ni 5,000/ bado hujamnunulia na huyo unayemtamani.Sasa wewe unashinda baa za uswazi huko temeke watoto wazuri utawasikia kwenye bomba!
Jichanganye Viwanja classic uone kama hutaopoa watoto classic pia