Hivi hawa watoto wazuri Haji Manara anawapateje?

Hivi hawa watoto wazuri Haji Manara anawapateje?

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Watu sisi tuna angalau kidogo sio kwamba sisi ni matajiri lakini vidogo vidogo vya kusukuma maisha mbele na kusaidia wapendwa na watoto wazuri hatuwezi kosa.

Lakini mapenzi yanatusumbuwa kinoma yaani.

Mpaka kuna mda nafikiria labda Haji anatumia kizizi yule sio bure maana namuona anakaa saana kiuganga

Kweli mimi wakuzungushwa na watoto wa Tandale kwa tumbo

Screenshot_20221031_002645_com.instagram.android.jpg
 
Watu sisi tuna angalau kidogo sio kwamba sisi ni matajiri lakini vidogo vidogo vya kusukuma maisha mbele na kusaidia wapendwa na watoto wazuri hatuwezi kosa
Lakini mapenzi yanatusumbuwa kinoma yaani
Mpaka kuna mda nafikiria labda Haji anatumia kizizi yule sio bure maana namuona anakaa saana kiuganga
Kweli mimi wakuzungushwa na watoto wa Tandale kwa tumbo
View attachment 2402708
Ni wapenda pesa, anatoa sana pesa , binti haji kwa kumpenda , bali pesa na wanakuwa na asili ya umalaya malaya! (sorry for the nasty comment)
 
Kama alivosema mdau Haji kipara ni maarufu ,so wanamuwin wanaotak umaarufu ,pisi hizo kaa nazo mbali Kam Ela yako ni ya mawazo
 
Sasa wewe unashinda baa za uswazi huko temeke watoto wazuri utawasikia kwenye bomba!

Jichanganye Viwanja classic uone kama hutaopoa watoto classic pia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cjui kwann nimecheka.
 
Haji anapost pisi ikicomment tu anaingia kwenye profile anaikagua akiona inafaa kwa matumizi anatimba Dm huko ndipo wanapomalizana..Instagram kuna mademu wakali sana ndugu zangu
Madem wa Insta lakini kwa virungu hawajambo labda uwe maarufu mkuu.
 
Sasa wewe unashinda baa za uswazi huko temeke watoto wazuri utawasikia kwenye bomba!

Jichanganye Viwanja classic uone kama hutaopoa watoto classic pia
Hela anazo? Classic venues local beer bei ya chini ni 5,000/ bado hujamnunulia na huyo unayemtamani.
Balaa linakuja pale anapokwambia mimi sinywi Moet nakunywa Dom Pérignon
Cc
kwisha
 
Haji ni mchawi Yule,hz pisi zake Ni za😀😆 wapi hapahap dsm hi
 
Sikuzote albino anamvuto....huoni anavyogombaniwa na wanajamii kupata mkwanja
 
Back
Top Bottom