Hahahahah,duh wabongo bhnHivi wale mliokuwa mnakaa chooni shuleni muda wa vipindi mnafanya kazi sasa hivi?
Hivi Vipi wale chairperson wa debates mashuleni sasa hivi hapo Shirika la utangazaji la BBC na CNN midahalo inaendaje???
Hivi wale mliokuwa mnakomaa kwenye debate mpaka macho yanakuwa mekundu kwamba Education is better than money bado mna huo msimamo au,,!
Hivi wale mliokuwa viongozi wa ulinzi vipi hapo Usalama wa Taifa mambo yanaendaje.
Ongezea uwezavyo mpaka hawa watu tuwapate
[emoji38][emoji38][emoji38]wale vijana wa torabora maisha yao yapo vizuri...
Au sio na mambo yamekaa simple tuuMimi nilikuwa simple tu na sasa ivi napiga kazi zangu simple nimeajiriwa taasisi ya kifedha simple nina maendeleo simple kila kitu simple.
Yani simpleAu sio na mambo yamekaa simple tuu
tupo pamoja mkuuYani simple
Hahahahah.naamini huko walipo watatujuza nini kinachoendeleaDah, hii imenikumbusha mbali sana, jamaa walinichinjia baharini, hata graduu ya YCS sikuhusika.
Watu wabaya sana.
Naamini salamu zako zitakuwa zmefika mubashara.wale ambao tulikuwa hatuingii darasani tunasoma kwa target tunamisalimia sana huku wizarani hakujambo
HahahahhaWale mafundi wa hesabu na physics mambo yanasemaje huko NASA?
hahahaahaaWale mliokua mnaandika kwa spidi ya juu na kusema "Mwalimu tumemaliza futa ubao" mmehudhuria press conference ngapi mpaka leo?