Hivi hawa watu wako wapi?Njoo tujuzane wako wapi

wale vijana wa torabora maisha yao yapo vizuri...
 
Hahahahah,duh wabongo bhn
 
Mimi nilikuwa simple tu na sasa ivi napiga kazi zangu simple nimeajiriwa taasisi ya kifedha simple nina maendeleo simple kila kitu simple.
Au sio na mambo yamekaa simple tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…