raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Alivyotemea mate na kufuta linavyojua kung'aa sasa kama kioo 🤭😆😆😆Nilivoonaga siku mtu anayapukuta na kitambaa pale Ubungo, hafu kitambaa anakitemea mate ili kilowane. Sinunui tena. Sio apple sio zabibu.