Hivi haya matufaa (apple) yana usalama kweli?

Hivi haya matufaa (apple) yana usalama kweli?

Mkuu ni teknolojia ipi wanaitumia kuyahifadhi haya ma apple kwa muda mrefu, au wanayapiga kemikali? maana tusije tukawa tunafurahia tu bei chee kumbe jamaa wanaleta zile ambazo ni reject huko kwao.
Yanagongwa kemikali kali sana...maiti wako pale mochwari Muhimbili ukilipa hela nzuri anagongwa dawa hata miezi 6 anakaa...sasa kama dawa hiyo ktk mfanano wake ndo inawekwa kwenye 🍎 kuna usalama hapo swahiba!?....Take ma Apple ya Muheza na Njombe na Maparachichi ya Tukuyu yako very fresh
 
Ni mgeni hili jiji baada ya kutoka mikoani,

Nachojiuliza hivi kuna usalama wa haya matunda aina ya apple kwa maana naona sasa hivi bei yake imeshuka sana.

Yaan apple zamani kula buku ila sasa mpaka sh 300 tena yale yale ya Sauzi. Je, huko Sauz kumetokea nini? Bei kushuka hivi kwa maana sasa apple wala ukila hushtui watu bei ipo chini sana tena makubwa makubwa

Mjini kuzuri.
Hey my name is Thomas. Tupiako basi kapicha tukuamini.
 
Back
Top Bottom