Yanagongwa kemikali kali sana...maiti wako pale mochwari Muhimbili ukilipa hela nzuri anagongwa dawa hata miezi 6 anakaa...sasa kama dawa hiyo ktk mfanano wake ndo inawekwa kwenye 🍎 kuna usalama hapo swahiba!?....Take ma Apple ya Muheza na Njombe na Maparachichi ya Tukuyu yako very freshMkuu ni teknolojia ipi wanaitumia kuyahifadhi haya ma apple kwa muda mrefu, au wanayapiga kemikali? maana tusije tukawa tunafurahia tu bei chee kumbe jamaa wanaleta zile ambazo ni reject huko kwao.
Wale jamaa watakuambia Thamani ya sarafu iko juu dhidi ya dola/randi wala usijali mkuu[emoji1732]Makubwa na mazuri sana tena ila bei ndio imeshuka saana.jion huwa mpka 300 mia tatu
Hey my name is Thomas. Tupiako basi kapicha tukuamini.Ni mgeni hili jiji baada ya kutoka mikoani,
Nachojiuliza hivi kuna usalama wa haya matunda aina ya apple kwa maana naona sasa hivi bei yake imeshuka sana.
Yaan apple zamani kula buku ila sasa mpaka sh 300 tena yale yale ya Sauzi. Je, huko Sauz kumetokea nini? Bei kushuka hivi kwa maana sasa apple wala ukila hushtui watu bei ipo chini sana tena makubwa makubwa
Mjini kuzuri.